Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UZI hiyo, huwa inakohoa vizuri sana!Wakali wa hizi kazi hiyo ni UZI? RIP commando
Mkuu kama hujui ni afadhali ukae kimya! Ila tambua huwa wanaenda.Komandoo akafanye nini kongo?
...kwa useng.e kama huu huo ubaba utakuwa ulisaidiwa.Da haina haja ya watu kujua story za mtu muhimu kama huyu kwenye social nert kama hii.
DrMe niko kwenye music industry lakini simjui
R.I.P
Kama MC Kwayu,ni MP lakini kwenye u MC kwenye Harusi yumo Na Kijana wake kwenye Mashine DJ Babykumbe hao elite nao wanaruhusiwa kuwa na fani nyingine kama hiyo ya muziki
Umri wako tafadhalisijawahi kujua kuna mwanamziki anaitwa hivyo Tanzania
Hiyo nyimbo yake alikuwa anasikiliza mwenyewe?
R.I.P Soldier
Nimezaliwa wewe hata kwenye karanga haupoUmri wako tafadhali
Siyo ajabu ndo mana hujui hizo mambo usizikurupukie unaweza kuta ana umri wa babako huyu ila kwa sababu ni jf bwabwajaNimezaliwa wewe hata kwenye karanga haupo
Umeuliza swali ,umejibiwa unaanza kulia liaSiyo ajabu ndo mana hujui hizo mambo usizikurupukie unaweza kuta ana umri wa babako huyu ila kwa sababu ni jf bwabwaja
Alijihusisha na mziki wakati yuko sec mpaka chuo ila baada ya kuajiriwa na Kukamisheni hakujihusisha tena na mziki maana maadili ya kazi hayaruhusu.Sikuwahi msikia huyo mwanamziki. Anyway R.I.P hero
Kwa wasio mfahamu vizuri komando Lt. Kabipe ni yule aliyeongoza washuka kwa miavuli toka kwenye ndege katika sherehe za uhuru pale uwanja a taifa kama sijakosea 2013/14.huyu ni yule alikuwa anafanya mazoezi ya mazimisho ya uhuru bomu likamlipukia apumzike kwa amani ni pigo sana na maumivu makali aliyopitia kabla ya kifo chake akika duniani tunapita tu![]()
Wanhitajika lakini si kwaajili ya kufanya bongo fleva. Kuna idara ya sanaa jeshini na wasanii wapo kwa shuguri zote zihusianazo na jeshiAliulizwa hilo swali kwenye mahojiano akalijibu vizuri sana kwamba jeshi linaenda kisasa na wasanii wanahitajika hata jeshini kuhamasisha mambo.
May all beings attain enlightenment.
Kwani Bongo Fleva si sanaa?Wanhitajika lakini si kwaajili ya kufanya bongo fleva. Kuna idara ya sanaa jeshini na wasanii wapo kwa shuguri zote zihusianazo na jeshi
Mmmh! Huo ni uso? R.I.P komandoohuyu ni yule alikuwa anafanya mazoezi ya mazimisho ya uhuru bomu likamlipukia apumzike kwa amani ni pigo sana na maumivu makali aliyopitia kabla ya kifo chake akika duniani tunapita tu![]()
Kweli kabisa,ingekuwa ni ngumu wangekuwa wameshaacha na uiitaka kuacha hukataliwi.kwani hawalipwi?
Kwani kuna mtu analazimishwa kua mwanajeshi?
hiyo tofauti ya majina tu end of the day anareceive hela/pesaWanacholipwa JWTZ hakiitwi mshahara ila ni posho. Hivi wakitaka walipwe mshahara unadhani kwa akili yako mbovu hivi mtaweza kweli.
Yep ni sanaa ila wanajeshi hawaruhusiwi kujihusisha na huo mziki.Kwani Bongo Fleva si sanaa?