Deogratius M
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 244
- 118
Kwa kanunigani? Na kwanini huo muziki na si mwingine? Mbona huyu aliweza?Yep ni sanaa ila wanajeshi hawaruhusiwi kujihusisha na huo mziki.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Nimezaliwa wewe hata kwenye karanga haupo
wewe ni producer?Me niko kwenye music industry lakini simjui
R.I.P
HahaaDuu makomando wavuta magari kwa meno kwenye sherehe za uhuru kumbe nao wanakufaga
Wanaruhusiwa kwa masharti maalum.
Hata ''Kitengo" cha Makumbusho nao inasemekana wanavijana wao kwenye Ubongo wa flavor.
[/QUOTEMwalsefe katika anasa za show time niite the the nae ni mtu wa makumbusho getini kulia Kama unaenda knyamer