Masoud djuma ..na kiatu kisichomtosha..

Haahaha et apeche alolo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Unaonekana ni mwandishi mzoefu wa soka la bongo, hizi feki id zinaficha mengi
 
Hizo final alipoteza kwa wachezaji wapi? Kikosi kipi, kumbuka wachezaji wengi walipewa likizo
 
Hizo final alipoteza kwa wachezaji wapi? Kikosi kipi, kumbuka wachezaji wengi walipewa likizo
Kocha mkomavu anaenda hata na team b.. mbona gor mahia wachezaji wao wengi walikuwa national team na bado waliwafunga..??
 
Wachezaji nyota wote hawakuwepo, ndio maana tulilalamika kukosa wachezaji wetu kwenye mashindano makubwa kama yale.
 
Mie siuoni ubingwa mwaka huu kwa huyu kocha. Kiufundi hayupo vizuri sana ukizingatia ubora wa wachezaji aliokuwa nao.
Umeandika kwa emotion na uelewa mkubwa wa soka la simba, nampenda masoud namtakia kila la kheri, Bado sijaona kama kuna kipya mbelgiji atakileta msimbazi na bado naamini kwa masoud.

Thanks Djuma
 
Hilo jibu ni la jumla sana, migogoro maana yake nini. Kupishana mawazo ni jambo la kawaida tatizo nyie wajamaa huwa hampendi mawazo mbadala mnataka 'ndio mzee' kama wabunge wa CCM.
 
Tulifungwa na Gor Mahia 2-0, alifunga Tuyisenge na Meddie Kagere wote hao ni wachezaji wa Rwanda, unasemaje wachezaji wao walikuwa national team.
Kocha mkomavu anaenda hata na team b.. mbona gor mahia wachezaji wao wengi walikuwa national team na bado waliwafunga..??
 
Simba ndio timu inayoongoza kwa kufukuza makocha wenye performance nzuri uwanjani kwa sababu za nje ya uwanja.
Sababu za nje ya uwanja?? na kocha Ana rekodi nzuri uwanjani..mambo ya nje ya uwanja yanamuhusu nini??
 
Tulifungwa na Gor Mahia 2-0, alifunga Tuyisenge na Meddie Kagere wote hao ni wachezaji wa Rwanda, unasemaje wachezaji wao walikuwa national team.
kumbuka rwanda alikuwa na mechi wiki chache baadaye... halafu Kenya walikuwa India.. palé gor wachezaji wengi wa kikenya walikuwa team ya taifa.. kuwaga na kumbukumbu..
 
Fuatilia kumbukumbu vizuri. Kenya walikuwa bado wapo kwenye ligi wakiwa na vikosi vyao vya kwanza.
Acha uongo Kenya ligi yao walishamaliza.. wakawa Wanasubiri simba wamalize ligi ndo sportpesa ianze....usitufanye sisi wajinga.. mpaka kocha alilalamika ratiba ya kufungulia yao ni ngumu..
 
Hilo jibu ni la jumla sana, migogoro maana yake nini. Kupishana mawazo ni jambo la kawaida tatizo nyie wajamaa huwa hampendi mawazo mbadala mnataka 'ndio mzee' kama wabunge wa CCM.
Mbona ulaya hatuskii migogoro ukiachana na mabeef ya kocha na mchezaji..
 
Wachezaji nyota wote hawakuwepo, ndio maana tulilalamika kukosa wachezaji wetu kwenye mashindano makubwa kama yale.
Nyie si ndo mmewapa likizo.. Sasa mnamlalamikia nani??mchezaji mkubwa ndo huyo okwi??
 
Huwezi kusikia migogoro kwa sababu wamezoeza akili zao kupishana mitazamo. Mgogoro unakuja pale ambapo mtu hataki mawazo kinzani.
Mbona ulaya hatuskii migogoro ukiachana na mabeef ya kocha na mchezaji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…