Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Miaka yote huwa naamini adui yako hatoki mbali... yaani yupo karibu yako..
ndo kinachomkuta masoud djuma.. kocha msaidizi wa simba sc.. ni kipenzi cha mashabiki. anapendwa na wengi ,lakini viongozi hawana imani nae tena, alikuja kocha mfaransa akashindwana nae.. na pia huyu mbelgiji wamegombana.. moja kwa moja utagundua tatizo ni masoud djuma mwenyewe.. kwanini??
mara nyingi huko ulaya kocha msaidizi anahusika na pg za mazoezi.. ila kikosi anapanga kocha mkuu.. hii inazuia kutoingiliana majukumu... inasaidia kila mmoja kuona anawajibika.... sasa palé simba masoud anaona kama hasikilizwi, so njia anayotumia ni kuwashawishi wachezaji Kuwa upande wake.. masoud anautaka ukocha mkuu.. lakini inabidi akubali Kuwa yeye bado sana yaani Viatu bado havimtoshi.. akiwa kocha mkuu kwa muda.. alipoteza final sportpesa kisha akaja kapoteza final kagame na azam na ilionekana wazi kabisa djuma ni mzito wa kufanya sub zenye macho, kiufupi masoud aendelee kupata uzoefu...
"mchizi kichizi "
ndo kinachomkuta masoud djuma.. kocha msaidizi wa simba sc.. ni kipenzi cha mashabiki. anapendwa na wengi ,lakini viongozi hawana imani nae tena, alikuja kocha mfaransa akashindwana nae.. na pia huyu mbelgiji wamegombana.. moja kwa moja utagundua tatizo ni masoud djuma mwenyewe.. kwanini??
mara nyingi huko ulaya kocha msaidizi anahusika na pg za mazoezi.. ila kikosi anapanga kocha mkuu.. hii inazuia kutoingiliana majukumu... inasaidia kila mmoja kuona anawajibika.... sasa palé simba masoud anaona kama hasikilizwi, so njia anayotumia ni kuwashawishi wachezaji Kuwa upande wake.. masoud anautaka ukocha mkuu.. lakini inabidi akubali Kuwa yeye bado sana yaani Viatu bado havimtoshi.. akiwa kocha mkuu kwa muda.. alipoteza final sportpesa kisha akaja kapoteza final kagame na azam na ilionekana wazi kabisa djuma ni mzito wa kufanya sub zenye macho, kiufupi masoud aendelee kupata uzoefu...
"mchizi kichizi "