Ina maana umesahau kuwa yeye hashauriwi na ukishauri ndio umeharibu kabisa? Samehe lakini usiisahau!Mkuu wa kaya anayekushauri kwenye hii kamatakamata anakupotosha! Za kuambiwa changanya na zako ....
Na kodi isiwe kisingizio cha kuikosoa Serikali kwenye kila jambo.Kodi isitumike kukomoa wakosoaji wa utawala.
Hajatubu mkuu, na kuna watu wanamshauri asitubu.Nilifikilia alipotubu akaacha zambi kumbe ndo anaendelea tu
Nyie mnaomtetea kwa kila jambo ndio mmetufikisha hapa.Mkuu wa kaya anayekushauri kwenye hii kamatakamata anakupotosha! Za kuambiwa changanya na zako ....
Ndo huo huoHivi "UCHOCHEZI" ni sawa na "AWARENESS CREATION", kwa kiingereza? Anayejua anisaidie.
Suala la usalama si kwa wapinzani peke yao. Hata kwangu mimi na wewe.Sasa kwann tunawanunulia bunduki na bastola zenye risasi za moto???
Nna mashaka na uelewa wetu juu ya majukumu ya jeshi la polisi
Au kama tuna uelewa wa kutosha basi huenda tunajitoa Akili likija suala la kumgusa mtu ambaye sisi wapinzan n rafik yetu kwa muda husika