Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Naomba wabunge wapitishe mswada utakaotoa muongozo wa namna ya kuikosoa serikali, kila kitu kiwekwe wazi nani anaruhusiwa kuikosoa serikali, atumie njia gani na wakati gani. Kama haitakiwi kuwakosoa basi waseme humo humo.

Wasitufanyee wajinga mtu ukiamka tu unajsikia unapindisha sheria unamkamata mtu, hii inajenga chuki baina ya wananchi na serikali yao, mnajifanya mnazuia uchochezi kumbe ndio mnatuchochea zaidi kutokana na uonevu mnaofanya kwa kupindisha sheria.

Ni bora tujue moja kwamba hatuna haki ya kuhoji chochote serikali inachofanya kuliko mtudanganye kwamba tuko huru kusema chochote halafu mnatukamata.
 
This is becoming too much; huyu mvaa hirizi kiunoni na bashite wake ni lazima adhibitiwe haraka; asifikiri kutawala nchi ni sawa na kutawala nyumba yake.



Mzee,inabidi tuliwashe kunji la kueleweka...

Naona wanatuchukulia poa sana..

Hadi katuni?

Sasa watu wakasemee wapi?

Chooni au wapi?

CCM,CCM,CCM....Dole la kati [emoji1603][emoji1603][emoji1603][emoji1603]
 
Mfalme wetu na nguo yake ya ajabu.... Tujipange barabarani kumsubiri apite na nguo lake. Anataka kuchorwa na masifa kedekede ole wako umkosoe [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Dada!!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…