Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Bado wa chungaji na Mashekhe kukamatwa na kutoweka
piga magoti we nduli we nduli, piga magoti we nduli we nduli, piga magoti we nduliiii kwa mwenyekiti wa chama!!Idd Amini akifaa! Eeh
Mimi siwezi kuliaa eeh
Nitamtupa Kageraa eeh
Awe chakula cha mamba!
Hivi nyimbo hizi za uzalendo bado zinafundishwa hadi sasa?
nataman nimjue hyo Bishop mkuuHii sasa hatari lakini bishop aliwaambia watu wa usalama wasiangaike naye yeye ni jabali naona walighwaya
weka picha yako ndo utajuwa kama wanatawala inchi kama nyumba yaoThis is becoming too much; huyu mvaa hirizi kiunoni na bashite wake ni lazima adhibitiwe haraka; asifikiri kutawala nchi ni sawa na kutawala nyumba yake.
angelikuwa hajiwezi kama mugabo asingekuwa nalakusemaStill wakiambiwa wakatubu wanaleta viroja na vitissho!!
I wish Mwlm Nyerere angekuwa hai na naamini asingekubali mambo ya hovyo yanayoendelea sasa kwq hawa miungu watu!!!
VViongozi wastaafu waliopo wanaogopa kukemea kwani wanajua wataambiwa wanawashwa washwa na hawajui yule jamaa ataamuru wakunwe kwa nyenzo ipi ili wanyamaze!!!
Kiswahili kumbe kigumu sana any way mi nawajua ndo maana nikakuuliza..Wasiojuliƙana unawajua wewe au unatetea kisichojulikana
Nadhani umefika wakati wa kama mmbwai na iwe mmbwaiI hope he is still alive.
Mbona kama mnataka kutoka nje ya mada ninyi?Niambie ndugu yangu
%100 fact....Nadhani umefika wakati wa kama mmbwai na iwe mmbwai
This is too much something needs to be done sasa!
Huyu bashite alilogwa au
JWTZ upo umuhimu wa kuliamsha Jeshi la Polisi
Ipi hiyo mkuu?Wacha nijifunze mydear ila ile hadithi inajiridia rudia sana siku hizi. Naikumbuka hadi fundisho lake ... Tukionana nitakusimulia na wewe au unaijua[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
nifuate pm ninataka kuteta naweNiambie ndugu yangu