Wengi walijiuliza walioniteka ni maaskari mkanitafuta vituo vyote sento mpaka staki shari wa kasema hawajui nilipo mama alik- wenda monchwarii daaaah yakaisari mwachie Kaisal mungu wa Paulo ndo mungu wa daud ndio mungu wa John mnaomwita mfalme wa wayahudi ebhana why hii nyimbo isiwe nyimbo bora ya Muda wote