Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Hii ni kutoka ukurasa wa Jf facebook!
03d0c31dd3e109a0ad1e75349d9e6019.jpg
7e8ad8045d5d05608906821938b344b0.jpg
 
Huu mjadala utafungwaje angali majibu ya alipo bado hatujapatiwa?
 
taarifa ya azam zinasema clouds wamesema wanafuatilia kama kapotea huku kuna uzi ulikuja humu kuwa kakamatwa na polisi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
watu wakisema wanaonekana wanachonga. hatukuyazoea haya sisi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tangu kini mtu mzima akapotea?yupo korokoroni huyo!
 
Habar wana Jf

Uzii huu utatumika kutoa [HASHTAG]#apdate[/HASHTAG] zinazo endelea juu ya matanzania mwenzetu, na mtangazaji CLOUDS masoud kipanya


Ambae ametuweka katika mazingira ya kutatanisha

ea00ecdfaf712d507891a717b24b2b9d.jpg



Na ni member mwenzetu wa Jf.
 
Wengi walijiuliza walioniteka ni maaskari mkanitafuta vituo vyote sento mpaka staki shari wa kasema hawajui nilipo mama alik- wenda monchwarii daaaah yakaisari mwachie Kaisal mungu wa Paulo ndo mungu wa daud ndio mungu wa John mnaomwita mfalme wa wayahudi ebhana why hii nyimbo isiwe nyimbo bora ya Muda wote
 
Back
Top Bottom