Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
...you're or you are........ your a great thinker to me.
Acha uongo!! Mbeba mabox wewe!!Kwa hiyo ni kweli alikamatwa lakini kelele za Watanzania mitandaoni zimewatisha hawa na kuamua kumuachia. Kama si kelele za Watanzania kuhusu kukamatwa kwake mwili wake ungeokotwa ufukweni baada ya siku chache.
Kweli UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.
Umeona ehee.. wanaojua kuficha waume za watu wamekamatilia fursa.Kapata Kick ya Kufungulia Mwaka Mpya!
Jimama lililoweka nguo zake Watu wakaanza kumsingizia Bashite wa Watu
Ni kweli hao jamaa hawafai kabsaKwa hiyo ni kweli alikamatwa lakini kelele za Watanzania mitandaoni zimewatisha hawa na kuamua kumuachia. Kama si kelele za Watanzania kuhusu kukamatwa kwake mwili wake ungeokotwa ufukweni baada ya siku chache.
Kweli UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.
tunasubiria mwili wa Azori Gwanda hapa Koko beach, tumeweka kambi hii wiki ya NNE sasaKwa hiyo ni kweli alikamatwa lakini kelele za Watanzania mitandaoni zimewatisha hawa na kuamua kumuachia. Kama si kelele za Watanzania kuhusu kukamatwa kwake mwili wake ungeokotwa ufukweni baada ya siku chache.
Kweli UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.
Mchepuko uliruhusu arudi Nyumbani baada ya Da Mange kuanza kushadadiaAMESAIDIA? Alimaanisha nini hapa?
Si walijifanya wana urafiki na bashite..!!Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi.
View attachment 665630
UPDATE:
JamiiForums imewasiliana na mwajiri wake (Clouds Media Group) na imehakikishiwa kuwa taarifa hizi zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni UZUSHI.
Yeye (Kipanya) asema aliyesambaza taarifa hizi "AMESAIDIA"
View attachment 665944
Baba yako alipata hasara sana kuzaa mtoto kama ww!Magufuli nyoosha nchi wazalendo tunakusapoti
Mikamanda imeumbuka. Sasa itabadili gia tena. 2020 inakaribia huku haijafanya mikakati yeyote ile zaidi ya kudandia udaku kila kukicha.Mchepuko uliruhusu arudi Nyumbani baada ya Da Mange kuanza kushadadia
Mungu ibariki ChademaJF ina nguvu sana !