Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

Huwa nawependa sana ndugu zangu waislam kwa kuwa wengi huwa wana msimamo usioyumbishwa na huwa hawaogopi. Ila naona sasa tunahitajika tuwe na nguvu ya uma
 
Kwelii hii ndo Silahaa pekeee ya sirikali kwa sasa ukitoa watu wasiojulikanaaa...!! Ukimkosoaa tuu TRA haooo wanakuchunguza ulipaji wako wa kodi.. Kuanzia jengo..viwanja..biashara zakoo Yanii utakubalii tuu mwisho wa siku Unajiunga Fisiemu kabisa... Kodi imekuwaaa silahaaaa siku hizi!
 
Kwa hiyo ni kweli alikamatwa lakini kelele za Watanzania mitandaoni zimewatisha hawa na kuamua kumuachia. Kama si kelele za Watanzania kuhusu kukamatwa kwake mwili wake ungeokotwa ufukweni baada ya siku chache.

Kweli UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.
Acha uongo!! Mbeba mabox wewe!!
 
Kwa hiyo ni kweli alikamatwa lakini kelele za Watanzania mitandaoni zimewatisha hawa na kuamua kumuachia. Kama si kelele za Watanzania kuhusu kukamatwa kwake mwili wake ungeokotwa ufukweni baada ya siku chache.

Kweli UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.
Ni kweli hao jamaa hawafai kabsa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa hiyo ni kweli alikamatwa lakini kelele za Watanzania mitandaoni zimewatisha hawa na kuamua kumuachia. Kama si kelele za Watanzania kuhusu kukamatwa kwake mwili wake ungeokotwa ufukweni baada ya siku chache.

Kweli UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.
tunasubiria mwili wa Azori Gwanda hapa Koko beach, tumeweka kambi hii wiki ya NNE sasa
 
Mchoraji wa katuni Masoud Kipanya anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi muda mfupi uliopita kwa tuhuma za uchochezi baada ya kuchora katuni inayoichonganisha serikali na wananchi.

View attachment 665630

UPDATE:
JamiiForums imewasiliana na mwajiri wake (Clouds Media Group) na imehakikishiwa kuwa taarifa hizi zinazosambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni UZUSHI.

Yeye (Kipanya) asema aliyesambaza taarifa hizi "AMESAIDIA"

View attachment 665944
Si walijifanya wana urafiki na bashite..!!
Wamesahau kuwa nungu nungu hakumbatiwi..
 
Tumeelewa ni kama ya Roma ila yeye hakufungwa machozi na mikono kwa siku tatu..sauti iliyoazwa imewatisha
 
Picha IPO kipanya ni wetu ila Sirkar ya ni ya jione pumba kumwaga:Jpm
 
Anayefikiria watanzania ni waoga atatambua siku si nyingi alivyojidanganya. Hakuna jeshi wala vijana walijifunza mbinu za utesaji, ujasusi na silaha watakao ishinda nguvu ya umma na huko ndiko taifa linaposumwa na wajinga
 
Back
Top Bottom