Masoud Kipanya huwa anasema mengi kwa picha au maneno machache

Masoud Kipanya huwa anasema mengi kwa picha au maneno machache

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,261
Reaction score
9,733
Fact
IMG_20211231_083812.jpg
 
Rais anashangaa askari kudhulumu haki za raia
Askari nae anashangaa rais kumshangaa
Spika anashangaa serikali kukopa ilhali anasimamia chombo kinachopitisha bajeti ya mkopo
Rais anamshangaa spika kushangaa mikopo ambayo bunge lake linaipitisha
Chama dola kujaa wanafiki ambao wnajifanya kama wameitoa nchi mikononi mwa wapinzani mwezi uliopita
Vyoo kujengw kwa fedha za kovid
Miaka 60 ya uhuru bila uchumi unaoeleweka
Kujilinganisha na nchi zingine yanapokuja mambo ya kipuuzi mfano hili deni, utasikia hata marekani wan deni kubwa kuliko letu lakini tukiwaambia mbona marekani imeendelea saana kuliko sisi wanatujibu kwamba nchi yetu bado ni changa.
 
Back
Top Bottom