Francis Mawere
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 958
- 831
Sio mawe tuu Mkuu, Ana hadi kokoto na mchanga na Cement kabisaKumbe jamaa ana mawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mawe tuu Mkuu, Ana hadi kokoto na mchanga na Cement kabisaKumbe jamaa ana mawe
Kwa Tanzani ndiye msanii mwenye gari ya bei ghali kuliko wote.Kumbe jamaa ana mawe
Na nondo.Sio mawe tuu Mkuu, Ana hadi kokoto na mchanga na Cement kabisa
Na Mabati na Chokaa na Rangi na PVCNa nondo.
Nilimuona nazo juzi kati
Hiyo peleka Moshi ikabebe mabanga yeye, au kwa dick sound magomeni huko.wakuu nauliza kama naweza kupimp suzuki excudo na ikatoka bomba. kama **** anayejua ni wapi nitapata hiyo huduma au anafanya ani PM. natanguliza shukrani
Kama upo Dar ipeleke kwa C.E.O wa Old School Rides atakufanyia pimp kulingana na uhitaji wako.wakuu nauliza kama naweza kupimp suzuki excudo na ikatoka bomba. kama **** anayejua ni wapi nitapata hiyo huduma au anafanya ani PM. natanguliza shukrani
Tembelea page yao ya Old School Rides katika mitandao ya instagram au facebook utaona Kuna Suzuki wame pimp pia kuna contact zake.Asante sana mkuu
Ukinunua gari kwenye kadi kuna sehemu imeandikwa rangi ya gari, kama ni blue ukienda kubadilisha inamaana hadi kwenye kadi ya gari unatakiwa ukabadili kadi.. so hapo lazma kuna kitu kidogo utakiacha TRAHivi kubadilisha gari rangi kuna vibali?
Mbona hilo gari kwa chini Kama naona pum.buNgoja nami nipeleke huu mkebe wangu...
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] View attachment 817165
Hicho kinachoning'inia hapo nyuma kama mbupu za mbuzi ni niniNgoja nami nipeleke huu mkebe wangu...
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] View attachment 817165
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mbona hilo gari kwa chini Kama naona pum.bu
Mkuu...Hicho kinachoning'inia hapo nyuma kama mbupu za mbuzi ni nini
Mi mwenyewe nimemuuliza hivyo[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]