Mil 100 kwel ukatae?Hila hawa watangazaji sijui nawaonaje yaani mtu akuachishe kazi kwa kukuona haufai, halafu leo unarejea tena kwake kwa kumnufaisha ashinde vita yake, hata kama nalipwa milioni 100 sirudi ng'o.
mkuu unaposema 'tulishahama' unamaanisha ww na nani? au ww na familia yako, maana hiyo redio yenyewe inasikika dar tu huku namtumbo wala sijawahi kuisikia.Tulishahama Power breakfast siku nyingi. Siku hizi tuko magic fm kina orest kawau wako vizuri mno.
Haijui mil 100 huyoMil 100 kwel ukatae?
Kweli hawa mabosi wanajisahau sanaWale watangazaji wanapaswa wasirudi kuipa nguvu Clouds ili ione thamani ya wafanyakazi, mana dezain wanavyoacha hao staff havieleweki, NAJUA NDIO KAZI INAYOWAINGIZIA RIZKI Lakini na wao wanahitaji kuheshimiwa na sio kufukuzwa kila leo au wengine wanaacha sabab wamepuuzwa, kina dina nao waliachishwa sijui nini havieleweki, sasa wanarudi ili aendelee kuwa juu, siku akipata wengine anakupiga tena chini na kukudharau mnapaswa muwaache na wao wakose muelekeo kama walivyowafanya nyie ili waone uchungu kiodogo.
Usilolijua ni kama usiku wa giza tena giza neneeeNdio maana wale waropokaji na pampula Hando na PJ waliamua kusanda mapema ili kukwepa aibu.Fundi karudi wangekosa namba tu.
Fanya uchunguzi mkuu.mkuu unaposema 'tulishahama' unamaanisha ww na nani? au ww na familia yako, maana hiyo redio yenyewe inasikika dar tu huku namtumbo wala sijawahi kuisikia.
Kilikua ni kipind cha vodacom saa 2 ad 3 asubuhiyap nilikua namsikia kwenye kipindi cha asubuhi sikumbuki kilikiwa kinaitwaje na kilikuwa kinapendwa sana but tangu amehama RFA hang'ai tena alianzia timesfm na sasa clouds fm, daah hata ule ucheshi aliokua nao rfa haupo tena
Dar imejaza watu wa Lindi, Mtwara Rufiji (Mbagala, Temeke, Tandika)...Kilimanjaro, Arusha (Kimara, Sinza, kibamba,Kiluvya, Mbezi), Iringa, Mbeya (Ubungo, Mabibo, Tabata, Mwenge) Mara (Ukonga, Gongo la Mboto), Mwanza, Shinyanga, Tabora (Makongo, Kigamboni....) na kadhalikaNi zao la watu wa Mikoani.....