Masoud Kipanya kwenye ubora wake

Kama Kenya ni the smartest mbona ameshindwa kuponyoka kwenye corona hoax
 
Mimi upande wangu sijamuelewa Masoud
 
Mwenyekiti wa Korona, Kaondoka huyo PUnda ambae ni Kenya kabakia hapo kanaswa anaendelea kuharisha/kujichafua wakati wote.

Kashindwa kutoka hapo kwa sabb kafungwa na huenda kilichomfunga hapo nimikopo analazimika kusalia hapo wakati kiuhalisia mwenyekiti wake beberu hayupo na hajui atarudi muda gani.

Serikal ya Kenya Mbona wana

Mjanja kanaswa na Genius
 
Yaan kamaanisha Kenya ni kama punda amefungwa haendi kula majan lkn ana kunya na hajakonda, means anajiweza. isi tumekaa mwezi mmoja tu na misharaha ikachelewa.

KP smartest
 
Kwa kibonzo hiki sidhani kama Wakenya wanaweza kuambulia any meaning.

Tunajifunza nini hapo
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] kwamba anaishi kwa kutii kifungo cha bwana dobi.

kiti ni chepesi mnooo tena kina matairi anaweza kuburuza tu aondoke kwenye hilo harufu la mavi nah mainzi, ambalo amekunya mwenyewe.
 
Naskia kisa cha Uhuru kuwa na bifu na Magufuli ni kitendo cha JPM kumlia bati kwenye mambo mengi ikiwemo kumualika kwa ziara rasmi ya kiserikali baada ya Uhuru kufanya hivyo kwa JPM na pia kwenda mpaka Chato kubembeleza urafiki!
 
Wenyewe humu daily wanatubania pua na ngonjera za "Big mind".
 
Yaan kamaanisha kenya ni kama punda amefungwa haendi kula majan lkn ana kunya na hajakonda means anajiweza ...sisi tumekaa mwezi mmoja tu na misharaha ikachelewa
KP smartest
Angalia tena picha vizuri.

1. Kiti cha korona kipo wazi, hakuna alieyekikalia.
2. Punda ni mnyama ambaye haonewi huruma, huburuzwa bila kujali ustawi wake. Ona alivyo kondo kwa sababu ya koti hewa cha corona.
3. Amejinyea, na hawezi enda mbali na kinyesi chake. Yuko lockdown, anakunya humo, anakojoa humo, matokeo yake kipindupindu pia kimemwathiri. Rejea taarifa za may na june.

Pamoja na kufungwa na kitu hewa, kisicho halisi na kinamfanya awe na maisha ya mfungwa gerezani, wakati ni hewa tu. Hebu chek vizuri teba

 
Yaan kamaanisha kenya ni kama punda amefungwa haendi kula majan lkn ana kunya na hajakonda means anajiweza ...sisi tumekaa mwezi mmoja tu na misharaha ikachelewa
KP smartest
We jamaa akili zako na funza, funza kakuzidi
 
Mi naona kipanya anamaanisha kenya wamefungwa fikira zao na neno korona.

Ukiangalia hicho ni kiti cha kawaida cha ofisini tena kina mataili ambacho hata mtoto mdogo anaweza kukisukuma, lakini punda na miguvu yote kwa kuamini kwamba kafungwa, anazidi kuingia woga na kuzidi kuchafua mahali alipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…