Hahahaha punda anatii kiti cha korona ikiwa korona wenyewe hayupo anashindwa kwenda kufanya yake anakunya hapo hapo sababu ya kuogopa jina korona noma sana
Una elimu gani mkuu??Yaan kamaanisha kenya ni kama punda amefungwa haendi kula majan lkn ana kunya na hajakonda means anajiweza ...sisi tumekaa mwezi mmoja tu na misharaha ikachelewa
KP smartest
Angalia tena picha vizuri.Yaan kamaanisha kenya ni kama punda amefungwa haendi kula majan lkn ana kunya na hajakonda means anajiweza ...sisi tumekaa mwezi mmoja tu na misharaha ikachelewa
KP smartest
We jamaa akili zako na funza, funza kakuzidiYaan kamaanisha kenya ni kama punda amefungwa haendi kula majan lkn ana kunya na hajakonda means anajiweza ...sisi tumekaa mwezi mmoja tu na misharaha ikachelewa
KP smartest
Mi naona kipanya anamaanisha kenya wamefungwa fikira zao na neno korona.
[emoji1][emoji1][emoji1]Hivi vipanya viwili vinafiki Sana.