Masoud Kipanya made my day LOL!!!

Masoud Kipanya made my day LOL!!!

Warren T

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
664
Reaction score
409
Masoud Kipanya endelea kuelimisha jamii mkuu!
 

Attachments

  • 1452076747237.jpg
    1452076747237.jpg
    31.2 KB · Views: 83
Hadi Muda Huu Itakua Kuna Watu Wanajutia Kura Yao.
 
litakuja tena kuchonga barabara 2019 au 2020. hii si nchi ya amani tukichagua upinzani amani itapotea
 
Chaguo lao milele..waisome namba sasa..magufuli mtu wa maguvu sio.....
 
Magufuli mbele kwa mbele,si muda mrefu ujao watakupongeza kwa kuwaondoa mabondeni kwa nguvu kwa Elnino inayokuja!
 
ccm ni ile ile ooo ni ile ile x2

Holaaaaaaah
 
Kibonzo hiki ni mfano wa siasa za nchi yetu, yaani mchoraji yeye na mimi uelewa wetu ni mmoja haswaa!
 
Back
Top Bottom