Mange ni faller flan ambaye Watanzania wameintain ufaller hadi kufikia kujivunia huo ifaller...simpendi Mange kabisaMke wa kwanza anahuzunika kuletewa mke wa nne wakati alishaletewa wawili? Kwa sababu zipi anahuzunika?
Mke wa kwanza anahuzunika kuletewa mke wa nne wakati alishaletewa wawili? Kwa sababu zipi anahuzunika?
Furaha ya mwanaume ndipo ilipoKumbe jamaa linatembeza mkwaju kwa kwenda mbele sana
Mke wa kwanza mama wa Malcon yeye aliachwa muda kabla hata yule malaika kuondoka.Mke wa kwanza anahuzunika kuletewa mke wa nne wakati alishaletewa wawili? Kwa sababu zipi anahuzunika?
Cartoon zake zinalipa!!Huyu kweli yuko fit, kama ana uwezo wa kuwatunza wote sioni shida...
Bado hujaweka dada wa kazi kwa kila mke. Chakula cha jioni tu kilo mbili za mchele kwa nyumba mojaKu maintain wanawake wanne lazima uwe tajiri, vinginevyo itakula kwenye mwili na mifupa yako............hapo kila mmoja akipata wastani wa watoto wanne, kumi na sita, jumla unakuwa na timu ya watu 20 kwenye familia bado ndugu na watoto wao ambao watakuwa wanakutegemea.