Masoud Kipanya: Maisha yangu mimi sio ya kuyaweka hadharani kama watu wanavyotaka

Masoud Kipanya: Maisha yangu mimi sio ya kuyaweka hadharani kama watu wanavyotaka

Cartoon zake zinalipa!!
'Kuwatunza 'ni nebo pana sana mkuu! Inaweza hata isuhusishe pesa za cartoons,
Huyo mke mmoja, kasheshiba vzur hana stress unaweza usimtunze vzr kwa bed !!! , Haya fanya ndo wapo wannne , washashiba ?? Maana naamini jamaa pesa ya kuwatunza ipo.
 
Hii app kuna watu itawaumiza kwani inachochea cyberbullying na character assassination na Mange naye dishi lake lishayumba yy hajali.
Atakuwa anaandika hata uongo ili mradi tu yeye apate wasomaji ale pesa. Yule dada yani anaweza kumzushia kitu chochote mtu na wafuasi wakaamini. Unakumbuka aliposema ray anachunguzwa kwa kumuua kanumba? Ray alipojaribu kujitetea lilikuwa kosa alimtukana kila aina ya tusi.
 
Atakuwa anaandika hata uongo ili mradi tu yeye apate wasomaji ale pesa. Yule dada yani anaweza kumzushia kitu chochote mtu na wafuasi wakaamini. Unakumbuka aliposema ray anachunguzwa kwa kumuua kanumba? Ray alipojaribu kujitetea lilikuwa kosa alimtukana kila aina ya tusi.
Kale la taahira tangu kaone Ile tape ya baba yake mzazi akiliwa kundubay na wahuni kalichanganyikiwa mpk leo.
 
Baadhi ya wa Tanzania ni wapumbavu sana umbea umbea umbea umbea Yan watu wanalipia had app kwa Mange ili wapate umbea, sijui unafaidika nini ukishayajua maisha ya mtu

Kinachosikitisha hadi watoto wa kiume wamekuwa wakuda kinoma yani
Kunasiku niliandika hvyo kwenye kurasa zake akanibloku unawachafua watu bila sababu na mijitu janaume kabsa anaenda kudowlod app seriously
 
Naomba kuuliza. Aliingia kwenye ndoa na mke wa kwanza. Akaingia kwenye ndoa na mke wa pili hadi wa nne.

Je kabla ya kuongeza ao wake si alikua anafanya dhambii ya zinaa kutoheshimu ndoa na kuwa na mahusiano pembeni ya ndoa?
 
Hii app kuna watu itawaumiza kwani inachochea cyberbullying na character assassination na Mange naye dishi lake lishayumba yy hajali.
Enzi za U- turn ya mange ulikuwepo? Kuna dada nusura ajinyonge kwa bullying aliyokuwa akifanyiwa huko kwenye blog, too bad wanaoshabikia hawajijui kama wao ni watu miserable na toxic. Wangelijua hilo wangetafuta tiba.

Hata hivyo si tumekubalina hii ndio democrasia? 😀
 
'Kuwatunza 'ni nebo pana sana mkuu! Inaweza hata isuhusishe pesa za cartoons,
Huyo mke mmoja, kasheshiba vzur hana stress unaweza usimtunze vzr kwa bed !!! , Haya fanya ndo wapo wannne , washashiba ?? Maana naamini jamaa pesa ya kuwatunza ipo.
Akishindwa 'kuwatunza', anawaacha... sio kesi!
 
“Maisha yangu mimi sio ya kuyaweka hadharani kama watu wanavyotaka, dunia tuliyopo kuna vitu vikifanyika watu wanaona kawaida na vile vya kawaida vinaonekana sio sawa"

"Kuna mtu anaweza akawa na mwenza mmoja lakini nyuma yake ana 'watu' wengi sana na kila mwaka anabadilisha na watu wanaona sawa ila kuna mwingine akifuata dini inavyotaka inakuwa shida”

Masoud Kipanya

====

Siku za karibuni Masoud amekuwa akiandamwa na dada maarufu mtandaoni juu ya ndoa yake mpya ya mke wa nne ambayo anadai imepeleka huzuni kwa mke wake wa kwanza.

Pia, soma=> Masoud Kipanya aongeza mke wa nne

View attachment 2093665
Hizi dini hizi zinazoendekeza tamaa za mwili, du!
 
Mke wa kwanza mama wa Malcon yeye aliachwa muda kabla hata yule malaika kuondoka.

Mwenye kulalamika pengine atakuwa bi mkubwa namba mbili

Nawaza kidogo pia, huyu bwana mdogo ni imani tu ya kufanya kuoa hivyo au ni mengine

Nakaribia kuamini yaliyosemwa wakati uliopita.

Wanaume heeee heee, oeni wanne wanne walau wote tutakaribia kupata wanaume.
Bwana mdogo ana miaka 50 sio?😃😃 Kweli mjini kila mtu bebi.
 
Maneno ya kweli kabisa jamani kina dada mpo wengi acheni tuwasitiri na mjuane kuliko kuishi kwa mashaka na kuangalia simu za waume zenu
 
Jamaa ana michongo mingi hapa mjini. Watu kwenye media wanaenda kupata jina ili wafanye michongo mingine. Mara alikuwa kwenye project ya nyumba ni choo, mara utamsikia yuko kwenye project hii na ile, mara china kwenye mambo ya exhibition.
Na huwa anapata hata deals za michoro kwa hizi international org na kwavile zile huwa zinafahamu the power of talents, huwa zinalipa vizuri hasa ukizingatia Masoud sio kwamba mshamba mshamba mmoja hivi mwenye njaa ya kuchukua chochote!
 
Back
Top Bottom