TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Sijui kama leo unaweza kuwa na wazo kama la Masoud kutaka kuzalisha kitu chochote cha kiubunifu na serikali yetu pendwa ikakuunga mkono kwa support kama wanayopewa wawekezaji wengine, sijui!!.
Basi hapo majuzi jamaa yetu huyu mtangazaji alipokuja na ile idea yake nzuri na kigari chake huku akiwa na matangazo, sehemu mbalimbali nchini kwa bahati mbaya hakufika mbali.
Jana na leo nimekuwa nasoma na kufuatilia international media nikajifunza jambo lingine hapa...
www.channelnewsasia.com
Serikali ya kupitia taasisi ya teknolojia -DIT kinafanya uzalishaji wa bajaj za umeme na tayari kimepokea order kutoka nchi jirani ili watengenezewe.
Kupitia chuo hicho nashindwa kuelewa kwa nini Kipanya alitupiwa vilago kwa vikwazo ambavyo angeweza kurekebisha tena kupitia uwekezaji ambao angefanya kwa sharing na hao wachina.
Nawasilisha.
Basi hapo majuzi jamaa yetu huyu mtangazaji alipokuja na ile idea yake nzuri na kigari chake huku akiwa na matangazo, sehemu mbalimbali nchini kwa bahati mbaya hakufika mbali.
Jana na leo nimekuwa nasoma na kufuatilia international media nikajifunza jambo lingine hapa...
Tanzania welcomes Chinese EV imports and production amid drive to transit from fossil fuels
Despite tax-free incentives on imports, Tanzania's EV industry faces other obstacles to growth, including limited funding, a shortage of technicians, and low consumer awareness.
Serikali ya kupitia taasisi ya teknolojia -DIT kinafanya uzalishaji wa bajaj za umeme na tayari kimepokea order kutoka nchi jirani ili watengenezewe.
Kupitia chuo hicho nashindwa kuelewa kwa nini Kipanya alitupiwa vilago kwa vikwazo ambavyo angeweza kurekebisha tena kupitia uwekezaji ambao angefanya kwa sharing na hao wachina.
Nawasilisha.