Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
adui sio ccm bali viongozi wa ccmAdui nambari moja kwa watanzania ni ccm
Wao uzalendo kwao ni kulipwa posho kubwaWanapeleka nyumbani maposho yao, huku wale wasio na maposho wanalazimishwa kulipia kodi za majengo yasiyo yao.
CCM na ufisadi ni kama chupi na matakoBadala ya kupeleka benki, wao wanapeka majumbani kwao! Na wote hao ni lazima wawe na kadi za ccm!! Hiyo ndiyo tiketi pekee ya kufanya vitendo vya wizi, ufisadi, uhujumu uchumi na ubadhirifu nchini.
Mbaya zaidii kutwa nzima kutusimanga kua hatulipi kodi, japo kila tununuacho tunakatwa VATWanapeleka nyumbani maposho yao, huku wale wasio na maposho wanalazimishwa kulipia kodi za majengo yasiyo yao.
Yule msanii nguri ameendelea kuonyesha uzareeendo wake kwa watanzania .
Wametuwekea picha inayo waonyesha viongozi wetu wa serikali jjnsi wanavyo jipatia mapato haramu na kuishi maisha ya kifahari.
Tazameni wenyewe hiyo picha ndiyo tutaelewana.View attachment 1899289
Bila ccm kuondoka madarakani tutalimia meno lamiYule msanii nguri ameendelea kuonyesha uzareeendo wake kwa watanzania .
Wametuwekea picha inayo waonyesha viongozi wetu wa serikali jjnsi wanavyo jipatia mapato haramu na kuishi maisha ya kifahari.
Tazameni wenyewe hiyo picha ndiyo tutaelewana.View attachment 1899289
Kwani kigogo warioba Kigogospana wanasemajeYule msanii nguri ameendelea kuonyesha uzareeendo wake kwa watanzania .
Wametuwekea picha inayo waonyesha viongozi wetu wa serikali jjnsi wanavyo jipatia mapato haramu na kuishi maisha ya kifahari.
Tazameni wenyewe hiyo picha ndiyo tutaelewana.
View attachment 1899289
TunasemaKwani kigogo warioba Kigogospana wanasemaje