majiyashingo
Member
- Feb 2, 2011
- 44
- 2
Good sunday evening wapendwa watanzania wenzangu katika kujenga uchumi wa Taifa
Ndugu zangu mimi mwenzeni maji iko shingoni nimeshachoka kubeba Box.Sasa nimeona niwekeze kwenye news paper(Gazeti)Naombeni ushauri
Je tuchukue proffessional gazeti kama la mwananchi ambalo lina mambo yetu kuanzia ya biashara ,siasa na mambo mengine yote
Je ni kama waandishi wangapi wanatikiwa katika kufanikisha ufanisi?
Ninapendependelea nichukue waandishi wenye bachelor na masters je kwa sasa mishaara ya waandishi wa habari ni kiasi gani kwa mwezi?
Je kuna mtu yoyote mwenye utaalamu wa hya mambo anaweza kunipa summary ya nini na shillingi ngapi zingeweza kuhitajika .Mimi si mtaalamu wa haya mambo ila nina weza kufacilitate fund basi business ikajiendesha yenyewe ikiwa na wataalamu wa kutosha
Nashukuru kwa machango wenu
Ndugu zangu mimi mwenzeni maji iko shingoni nimeshachoka kubeba Box.Sasa nimeona niwekeze kwenye news paper(Gazeti)Naombeni ushauri
Je tuchukue proffessional gazeti kama la mwananchi ambalo lina mambo yetu kuanzia ya biashara ,siasa na mambo mengine yote
Je ni kama waandishi wangapi wanatikiwa katika kufanikisha ufanisi?
Ninapendependelea nichukue waandishi wenye bachelor na masters je kwa sasa mishaara ya waandishi wa habari ni kiasi gani kwa mwezi?
Je kuna mtu yoyote mwenye utaalamu wa hya mambo anaweza kunipa summary ya nini na shillingi ngapi zingeweza kuhitajika .Mimi si mtaalamu wa haya mambo ila nina weza kufacilitate fund basi business ikajiendesha yenyewe ikiwa na wataalamu wa kutosha
Nashukuru kwa machango wenu