Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada yangu ana raha sana....Dunia inakwenda kasi sana hii....
Huwa najiuliza kwamba, hivi kabla ya massage wazee wetu mbona waliweza kuwakanda wenza wao apsipo tatizo lolote.. na kwani kabisa mwanaume/mwanamke unawezaje kumruhusu mke/mume wako aende akashikweshikwe kipuuzi na watu wengine..!!??
Dah...wewe hupendi raha?.... 😉Dada yangu ana raha sana....
hakuna asiyependa raha.[emoji6][emoji854]Dah...wewe hupendi raha?.... 😉
Mkuu, ebu fanya umpe raha huyu kigori...[emoji39][emoji39]Dah...wewe hupendi raha?.... 😉
@Rohombayahakuna asiyependa raha.[emoji6][emoji854]
shemejiiiiiiiii.....!!!!!!Mkuu, ebu fanya umpe raha huyu kigori...[emoji39][emoji39]
kuna vya kuunga Mkono...ila sio hili....[emoji2958][emoji854]@Rohombaya
Dah...kama unapenda lakini hauzipati...basi huo ni uzembe sasa 🤣 🤣hakuna asiyependa raha.[emoji6][emoji854]
nazipata, mpaka...nazikimbia wakati mwingine.....[emoji854][emoji854][emoji6][emoji6]Dah...kama unapenda lakini hauzipati...basi huo ni uzembe sasa [emoji1787] [emoji1787]
Ni upuuzi tu, mimi wife hata kutengenezwa kucha na njemba simruhusuDunia inakwenda kasi sana hii....
Huwa najiuliza kwamba, hivi kabla ya massage wazee wetu mbona waliweza kuwakanda wenza wao apsipo tatizo lolote.. na kwani kabisa mwanaume/mwanamke unawezaje kumruhusu mke/mume wako aende akashikweshikwe kipuuzi na watu wengine..!!??
Dah...mkuu .vya wakubwa hivyo....unataka nitumbuliwe hadharani kama Mtela? 🤣🤣🤣Mkuu, ebu fanya umpe raha huyu kigori...[emoji39][emoji39]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah...mkuu .vya wakubwa hivyo....unataka nitumbuliwe hadharani kama Mtela? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah..safi sana 😉nazipata, mpaka...nazikimbia wakati mwingine.....[emoji854][emoji854][emoji6][emoji6]
Ndo maana Nataka nijufunze aisee swala la njemba kumshika shika mamiloo Hapana aiseeDunia inakwenda kasi sana hii....
Huwa najiuliza kwamba, hivi kabla ya massage wazee wetu mbona waliweza kuwakanda wenza wao apsipo tatizo lolote.. na kwani kabisa mwanaume/mwanamke unawezaje kumruhusu mke/mume wako aende akashikweshikwe kipuuzi na watu wengine..!!??
Usihofu mkuu, minaona tayari huyu mwali amesha kuelewa...[emoji23][emoji23]Dah...mkuu .vya wakubwa hivyo....unataka nitumbuliwe hadharani kama Mtela? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ZanzibarWakuu wapi naweza kupata course ya kufanya massage maana kila nikiwaza njemba iwe ina mshika shika mamiloo hapana aisee.
Dah...sawa mkuu….ngoja nizame PM yake….ama nipate ….au nife nikijaribu…. 🤣 🤣Usihofu mkuu, minaona tayari huyu mwali amesha kuelewa...[emoji23][emoji23]