Thanks [emoji1545]Habari,
Ninauza hizi tractor mbili.Zote ni 2WD.Mtumba kutoka Uholanzi bila jembe/trailer.
MF135-46Horsepower
MF158-63 Horsepower
Zimesajiliwa na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa(Engine za Mbuni-Diff Kubwa,PTO,drawbar na zina connection za hydraulics).
Hazijatumika Tanzania.
Bei MF135 18M, Tshs MF158 24Million Tshs
Zipo Arusha.
View attachment 2875528View attachment 2875529
Watu8 Bujibuji Simba Nyamaume ladybutterfly Gentleman96 la la land Uzalendo Installer Attainer Jr Mshana Jr Peaceforever KANYEGELO
Kwamba Tanzania waharibifu mno, used ya Tz sio sawa na used ya UK si unaona mazingira yenye we.Hivi phrase "hazijatumika Tanzania" huwa ina umuhimu gani kwenye matangazo ya aina hii?
Watanzania matumizi yetu mabaya, hatufanyi sevis na matengenezo yanayostahili kwa wakati. Kwa hiyo ukiandika haijatumika kwa mbongo unampa mnunuzi mbongo imani kubwa kua chombo bado kizima.Hivi phrase "hazijatumika Tanzania" huwa ina umuhimu gani kwenye matangazo ya aina hii?
Used ya tanzania maana yake inakufanya kuwa fundi ndani ya muda mfupi jumlisha na presha.Hivi phrase "hazijatumika Tanzania" huwa ina umuhimu gani kwenye matangazo ya aina hii?
HahahaaUsed ya tanzania maana yake inakufanya kuwa fundi ndani ya muda mfupi jumlisha na presha.
... seems ni sifa mbaya kwamba kitu kimetumika Tanzania! Kwamba kikiwa kimetumika Tanzania ni takataka. Inaonesha uhovyo wa jamii ya kitanzania vs jamii za weupe.Used ya tanzania maana yake inakufanya kuwa fundi ndani ya muda mfupi jumlisha na presha.
Bora zingetumika Tanzania....ila kama zimetumika KENYA ni hatari zaidi.Habari,
Ninauza hizi tractor mbili. Zote ni 2WD. Mtumba kutoka Uholanzi bila jembe/trailer.
MF135-46Horsepower
MF158-63 Horsepower
Zimesajiliwa na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa(Engine za Mbuni-Diff Kubwa, PTO, drawbar na zina connection za hydraulics).
Hazijatumika Tanzania.
Bei MF135 18M, Tshs MF158 24Million Tshs
Zipo Arusha.
View attachment 2875528View attachment 2875529
Watu8 Bujibuji Simba Nyamaume ladybutterfly Gentleman96 la la land Uzalendo Installer Attainer Jr Mshana Jr Peaceforever KANYEGELO
Hivi vyombo used vya moto kabla havijawa exported huwa vinafanyiwa service kubwa kwa hiyo vinakuwa vizima mechanicallyHivi phrase "hazijatumika Tanzania" huwa ina umuhimu gani kwenye matangazo ya aina hii?
Matumizi ya tz huwa ni rafu sana,nje wanazingatia serviceHivi phrase "hazijatumika Tanzania" huwa ina umuhimu gani kwenye matangazo ya aina hii?
Ndio ukweli halisi... seems ni sifa mbaya kwamba kitu kimetumika Tanzania! Kwamba kikiwa kimetumika Tanzania ni takataka. Inaonesha uhovyo wa jamii ya kitanzania vs jamii za weupe.
Ndio ukweli hazijatumika Tanzania--hivyo vifaa vyake bado ni original--Tanzania spare za kuunga unga ni nyingi--na hazina uhakika.Hivi phrase "hazijatumika Tanzania" huwa ina umuhimu gani kwenye matangazo ya aina hii?