Massive Two Rivers mall in Nairobi aggressively conquers East & Central Africa shopping experience

kejof2 piga domo hadi asubuhi lakini during Tanzania election period Kenyan media camped in Dar es alam and truth of the matter that place is a dump!!!!

JF utapata support outside JF hamna any!!!
Uchumi unaruhusu nyie uchumi mkubwa halali kuishi hivo?? Kama hayo ndo maisha ya middle class bora tusifikie huko tubaki tulipo
 
So what is bad in pipeline???

Below is Paris and Jerusalem respectively

Just slap some tarmac on that pipeline estate and street lighting and see how different they will be Dimwit!!

View attachment 346483 View attachment 346485

Ndiyo maana tunafanya ziara za mtaa kwa mtaa kuifahamu vizuri Nairobi, watu wake, mazingira tofauti tofauti na kujifunza mengi kama ulivyoweka picha za ameneo ya jiji la Paris.
 
Tuone maisha ya watu wa uchumi mkubwa aka wazee wa middle class
 


Huu ubunifu wa kujenga maghorofa uswahilini Kenya, nadhani hata Tanzania tungeweza kuwa na magorofa ya aina hii ili kutoufanya mji mfano wa Dsm kuwa umetapakaa eneo kubwa sana ila lazima masuala yaa kuzingatia ujenzi bora na salama kujiepusha na ajali kama moto na majengo kuporomoka.
 
Hio kodi inayolipwa hapo kwa bongo kwa pesa hiohio unakaa sehem kidogo inaeleweka
 
Hio kodi inayolipwa hapo kwa bongo kwa pesa hiohio unakaa sehem kidogo inaeleweka

Ndiyo tunajifunza ktk ziara hii ya mtaa kwa mtaa kwa nini watu wa Kenya wanapenda kulundikana sehemu mmoja, je shida ni upatikanaji wa ardhi, viwanja, ''watu wadogo kupiga dili kujiongezea kipato hakuna nafasi Kenya au shida ni nini labda ndugu yetu Samm999 anaweza kutupa sababu ya hali hii

Maana m-Tanzania wa hali ya kawaida kukubali kukaa ktk mazingira kama haya ni ngumu sana bora ujenge ''kibanda chako''.
 
GDP kubwa maisha ya panya
 
hehe the southerners are extremely pissed off seeing this jewel mammoth mall under full clad! hapa mtadandia tu.
 
hehe the southerners are extremely pissed off seeing this jewel mammoth mall under full clad! hapa mtadandia tu.
Pissed na kitu hakitusaidii anything hehe ndo mlichobaki kufanya kupiga kelele kwa mali za wenyewe usiku mkalale kwenye mabanda yenu mmekua soo hopeless
 
What in heaven does Tanzania help us with? You must be retarded
Jf tu mmeshasaidiwa mje kupunguza stress sie hatuwahitaji ndo mana huon mbongo anahangaika kuvamia huko kwenu ila nyie ipite siku hamjatia maguu hapa mnapagawa
 
kejof2 while you go on with your hatred,iam watching my favourite AIC shinyanga choir on YouTube with AIC chang'ombe in Dar...You know what?,both videos have been shot in Nairobi one on top of KICC and my favourite lead soloist Magreth Magenda seem to like the vantage view from thew top of kicc.Hujui hata magreth magenda ni nani....
Check out "pepeto la bwana by AIC shinyanga'WATCH THE VIDEO TO SEE THAT INDEED NAIROBI NI BABA YAO!!!!
 
Jf tu mmeshasaidiwa mje kupunguza stress sie hatuwahitaji ndo mana huon mbongo anahangaika kuvamia huko kwenu ila nyie ipite siku hamjatia maguu hapa mnapagawa
Says the idiot who claims he stays in Kenya
 
Lazima waje huko hao mapastor wenu akina kanyari wanawahitaji sana ili kuvutia watu mjazane mkamuliwe vipesa lazima wavutie soko la huko akina kanyari wanawapa pesa mingi.
Sijai skia kwaya hata muimbaj wakenya kwa sasa aje tz ajaze umati ila huko mkiskia tu akina rose muhando wanatua akili zinaruka mkaone kipaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…