Massive Two Rivers mall in Nairobi aggressively conquers East & Central Africa shopping experience

Kweli kabisa maana angalau Tanzania, mtu akikaa kwenye maghorofa hali siyo ngumu saaaana kama jamaa ktk magorofa ya Huruma. Mathare n.k Tuwaache wakashangae Malls na mataa ya sehemu za Gigiri n.k
Haha ukienda kupanga
Hahaha unapanga chumba unapata na goma la kupiga mikasi bure videm vyao ukivikuta kwenye hizo mall na ngeli zao za kuzugia unaweza sema mtu wa maana kumbe hata pa kulala tu shida lazma atoe mbunye ahifadhiwe....kule wanauza wake zao kwa wazungu wapate ka hela hawa nao wanagawa ndugu zao buree kwa ka chumba tu ka kujihifadhi
 
We jamaa si mshazimiwa stima zima simu yako save hio chaj had kesho mkiwashiwa tena
Middle class maisha ya kuungaunga
 
Hahaha.... Are you getting this news now. You guys are so behind.
 
We jamaa si mshazimiwa stima zima simu yako save hio chaj had kesho mkiwashiwa tena
Middle class maisha ya kuungaunga

Wenye kumiliki maghorofa hawana maana kabisa Kenya, yaani mpangaji mapemaaa saa mbili usiku tayari wanakuzimia umeme mpaka kesho yake utumie kibatari au simu ya kitochi na simu lazima uzime kuhifadhi chaji !
 
Wenye kumiliki maghorofa hawana maana kabisa Kenya, yaani mpangaji mapemaaa saa mbili usiku tayari wanakuzimia umeme mpaka kesho yake utumie kibatari au simu ya kitochi na simu lazima uzime kuhifadhi chaji !
Noma sana shida na wenyewe wakiachiwa ubahili juu hawatalipa
 
Noma sana shida na wenyewe wakiachiwa ubahili juu hawatalipa
Sasa tujiulize watu kama hawa ambao ndiyo wengi Nairobi, wataweza kweli kwenda ''kujirusha'' na dolphins au shoppings katika Malls.
 
Sasa tujiulize watu kama hawa ambao ndiyo wengi Nairobi, wataweza kweli kwenda ''kujirusha'' na dolphins au shoppings katika Malls.
Watajazana tu huko hamna kiingilio ila wanunuzi ni mabwana zao wazungu na wageni wengine na kale ka asilimia kadogo ka wakenya wanaojiweza hao wengine siku ikiisha ni kurudi home kula avocado na githeri badae waje kutoa pov jf simu ikiisha chaj akalale kwa jirani
 
Ha ! Ha! si bure naona wenyewe wapo kimyaa kumbe wamelazimishwa kulala mapema.
 
Ha ! Ha! si bure naona wenyewe wapo kimyaa kumbe wamelazimishwa kulala mapema.

Huruma is in MATHARE SLUMS right at the centre so tuna cheka ujinga wenu hatuwalengi hatuoni haja ya majibizano - mlipo sema middle class kila mtu akajitoa ama hauku notice... Kujibizana nanyi not counter productive.... Hamuezi kuelewa so no need... Soothe your egos all yu want Everyone knows Nairobi is by far the best city out of SA in sub Saharan Africa so we are already there!!!!
 
I'm so sick and tired of hearing childish and insecure people bracing about their country being better. What is it that 254 has against 255? Please let's put this obsession on the table and operate on it once and for all.
 
I'm so sick and tired of hearing childish and insecure people bracing about their country being better. What is it that 254 has against 255? Please let's put this obsession on the table and operate on it once and for all.

Simply put why are Tanzanians on the Kenyan side of the forum????

Insecure much???

Tanzanians are insecure!!!!...
 

Sawa tunajua wewe ni mmoja wa wale wachache ambao hamna maisha magumu wala kulazimishwa kulala mapema kwa kukatiwa stima na wenye nyumba, na ndiyo maana tunaweza ''kufahamiana'' hapa Jamiiforums tukabadilishana mawazo na kuweka mambo sawa.
 
Don't just answer without evidence. 254 has always been known to have an obsession and grudges both politically and socially with 255, and that's a fact. Even when I was in Nairobi sometime back I was constantly discriminated. I don't see that in Tanzania towards Kenyans. Seriously speaking Kenyans have to end this nonsense. And I have come to discover that it's the men who are insecure. There has to be a hidden reason. I wish I could know it.
 
Simply put why are Tanzanians on the Kenyan side of the forum????

Insecure much???

Tanzanians are insecure!!!!...
Kenyan side of the forum??? Hujishangai upo kwa forum ambayo ni ya wa tz kwani umeona kwa forum zenu huko kuna wabongo wanahangaika kuja na kujikomba huko??
Umbea wenu na kukosa cha kufanya ndo kinachowafanya mje huku kuhangaika tu kama mnatafuta mabwana na msidhani hii ni twitter ama fb huko mnapokaaga kulialia tu....mnakimbizwa huko na matusi ya wajaluo yanawashinda mnajifanya kuja huku kuleta shombo zenu rudini hukohuko mkatukanane kama mlivyozoeana msitake kujileta huku na kutafuta pa kuonekana
 
Mnawakana wenzenu hao nao si ni wakenya au middle class ipo kwa wataifa gani au rangi gani
 
Hao ndo maboya madem zao hawana uboya kama wao ndo mana wanawatandikaga tu vidume havijielewi viko vinatafuta shari tu kama vimekosa wakuwakuna
 
acha uongo bana, eti ulikuwa discriminated , the biggest joke of the year. Have you ever been to Gikomba, Machakos or Ongata rongai , if not make a point. Chaggas literally control the Gikomba market in Nairobi, they even have gangs there but noboby cares and here you are blubbing that kenyans hate tanzanians.
 
Tz stop this nonsense of posting on this thread irrelevancies.....stick to malls and the discussion and stop those pics yuv started diluting this thread or proceed to post nonsense on your threads.I personally have not posted nonsense on your threads,mkitaka kuenda huruma nendeni kule...
 
Whats yours around here mpangaji haweki sheria halaf nyie ndo wale wa mtu m1 akaunti 7 ngoja mtumbuliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…