Mastaa 7 Bongo wasio na skendo

Mastaa hawa warembo kupita maelezo umemuacha Bob Junior, Master J, Harris Kapiga na Edi Sultan. Huyu namba saba ondoa.
 
mi jamani MTU aje pm anipe no ya malaika pliz, me kbs anisaidie namba ya huyu mtu,nataka niongee na malaik plixzzzzzz
 
mi jamani MTU aje pm anipe no ya malaika pliz, me kbs anisaidie namba ya huyu mtu,nataka niongee na malaik plixzzzzzz
Umemtaarifu mume wake lakini!! Maana hatutaki tukuletee matatizo
 
Mkuu naheshimu kilichoko,huyu dada nyimbo yake nareplay Mara nyingi cjawahi kufanya hivo.mm nimpate nimsifie kwa kauli yangu ntajckia tu
Hata ukimsifia kwa redio au TV sifa zitamfikia labda kama unamengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…