Mastaa Ambao Washalala Na Kim Kardashian

Mastaa Ambao Washalala Na Kim Kardashian

Huyu mwanamke kwa sasa ni mke wa mtu siyo vizuri kumuongelea wala kumtaja jina wabongo tubadilike just imagine ni mke wake au mama ako how could you feel kuna watu wa kuwaongelea siyo wake za watu. Just for advice and not blah blah.
blaza hua una fantasize juu ya kim nin////:biggrin1:
kama wampigia pu..lii uspaniki ngoja tumtete kidogo then tutamrudisha in your fantasy dream:A S thumbs_up:
 
Navoona Kim jst cant keep a man for long,sitashangaa akaibuka na kifaa kipya hivi karibuni,
 
kanye ndo mnyamwezi anayeweza kukaa na kim na sio hao wengine...

Alafu ni washkaji kitambo sanaa kuna wakati fulani nishamuona yeezus kwenye show yao...
labda kwakuwa simzimiki kanye ndo maana....hana muonekano wa kinyama ana kuonekano flani wa kilocal
 
this is more than insult vaikojoel you have to control your mouth.

blaza hua una fantasize juu ya kim nin////:biggrin1:
kama wampigia pu..lii uspaniki ngoja tumtete kidogo then tutamrudisha in your fantasy dream:A S thumbs_up:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom