Mastaa hawa siwapendi kabisa

Yani kama mimi hasa hao wakiume bora huyo wa kike maana jinsia inamruhusu.

Mie bana simpendi kweli Wema Sepetu,yani hiki kidada nakichukiaaa...halafu sioni hata huo uzuri ambao wengine wanamfagiliiiaaa..No.2 ni DOMO kubwa Diamond..,yani huyu jamaa bana basi tu. Mie hata mizikk yake nimekuja kuisikiliza kwa umakini hivi majuzi juzi tu,lakini waaalaa, No.3 ni Ray,jamaa nae tabia km za Hemed tu. Kuigiza hajui,mashauz tu ndo kaweka mbele. Nakumbuka alishawahi kuigiza film moja ambayo ilikuwa inafanana na ya Marehemu Kanumba ya Uncle J.J. ya huyu ---- Ray ilikuwa na akina Elizabeth Michael "LULU".
 
Huyo no 2 no comments.
 
Namba 1 na 2 aisee umetisha kama upo akilini mwangu! Niliacha kusikiliza Claud fm kwasababu ya huyo mdada!! Na huyo mwenye hulka za kike movie yoyote ambayo ameshiliki siwezi kuiangalia ila nahisi jamaa anamegwa.
 

We nae wale wale hata jna tu lajieleza pelekeni usharo huko
 
Mnh majanga usupastaa una kazi kweli hasa kwa wale ambao shule imepita pembeni. Ni shida tu
 

wewe kweli unamjua bin suleiman..PHD!.............mtoto wa kihuni yule sema basi tu huamua kuzingua raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…