Mastaa hawa siwapendi kabisa


wanasema jamaa ana ugonjwa wa kunuka makwapa na utozi wote ule..je ni kweli?
 
Mmh kumbe unaweza mchukia mtu hata bila kugombana nae
 

Dah mkubwa hili jina mbavu sina.
 
Mengine yote uko sawa ila kwa # Nay sijakubali labda tuko tofauti hapo mwongeze Airin Uyowa namchukia sijui kama nini. Anatabia ya kimalaya malaya then kujifagilia sana. Kuna siku nilimpa makavu Instagram mpaka alinikimbia na mashabiki wake.
 
kwenye hiyo list muongeze muathirika KIBONDE.
 
mm huyo diva cjui..ndo ctaki hata kumsikia yangu ananiboa ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…