Huyo jamaa ulimyetaja ana umaarufu gani? Le mburula na Mange ulivyowataja tu nimewajua, nipe jibu nikupe I'd hadi ya Bashite humu ndaniTafadhali nitajie watu maarufu waliopo humu JF,wamuziki ,bongomovie,wanamichezo,...nk mana naweza mkuta msanii wangu pendwa humu bila kutegemea nikawa karibu nae.
niliona post moja carol ndosi alitajwa bila kutegemea paap huyu hapa anajibu kila kitu,I was impressed! naskia lemutuz na mange pia walikuwemo humu ndipo walipoanzia harakati zao! so MTU gani maarufu mwingine aliwahi kuwemo humu au yumo zaidi ya watu hawa wakongwe maarufu wahumuhumu jf
HANCE MTANASHATITafadhali nitajie watu maarufu waliopo humu JF,wamuziki ,bongomovie,wanamichezo,...nk mana naweza mkuta msanii wangu pendwa humu bila kutegemea nikawa karibu nae.
niliona post moja carol ndosi alitajwa bila kutegemea paap huyu hapa anajibu kila kitu,I was impressed! naskia lemutuz na mange pia walikuwemo humu ndipo walipoanzia harakati zao! so MTU gani maarufu mwingine aliwahi kuwemo humu au yumo zaidi ya watu hawa wakongwe maarufu wahumuhumu jf
TUNDA SABASITA ,KIFESI, etcTafadhali nitajie watu maarufu waliopo humu JF,wamuziki ,bongomovie,wanamichezo,...nk mana naweza mkuta msanii wangu pendwa humu bila kutegemea nikawa karibu nae.
niliona post moja carol ndosi alitajwa bila kutegemea paap huyu hapa anajibu kila kitu,I was impressed! naskia lemutuz na mange pia walikuwemo humu ndipo walipoanzia harakati zao! so MTU gani maarufu mwingine aliwahi kuwemo humu au yumo zaidi ya watu hawa wakongwe maarufu wahumuhumu jf