Tupe wewe hesabu sahihi basi......
Hiyo ya Diamond $62850 hajasema ni sawa na 150 million amesema inayokaribia na 150 million tambua hilo....
Then $60000 sawa na Tsh ngapi??
Hata mm nilimwambia hvyo hvyo, nikasema nisimbishie labda mwenzangu anafanya kazi bureau de change anajua mambo ya ma dollari kumbe ni sawa tu? Khaaa!!!
Diamond anamiliki BMW ya $62850=mil 150....
Lady JD anamiliki Range Rover Evoque $60000=mil 100.hii ni hesabu ya wapi warumi?
Diamond anamiliki BMW ya $62850=mil 150....
Lady JD anamiliki Range Rover Evoque $60000=mil 100.hii ni hesabu ya wapi warumi?
Nimemsahau binamu yangu Dinazarde anayemiliki Toyota IST promotion ya ahsante Airtel
Nimemsahau binamu yangu Dinazarde anayemiliki Toyota IST promotion ya ahsante Airtel
Ahaha!! Ndo namsubir apa, yani binamu yangu yule toka atoke uko USA anaringaje? Siku izi anajifanya sio mbea kabisa we muache tu
Tena aniache mie na mahesabu yangu
Mmesahau usafiri wa King kiba ni wa bei ghali sana....Boxer Bm 150
Mmesahau usafiri wa King kiba ni wa bei ghali sana....Boxer Bm 150
Mmesahau usafiri wa King kiba ni wa bei ghali sana....Boxer Bm 150