warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #21
Tupe wewe hesabu sahihi basi......
Hiyo ya Diamond $62850 hajasema ni sawa na 150 million amesema inayokaribia na 150 million tambua hilo....
Then $60000 sawa na Tsh ngapi??
Hata mm nilimwambia hvyo hvyo, nikasema nisimbishie labda mwenzangu anafanya kazi bureau de change anajua mambo ya ma dollari kumbe ni sawa tu? Khaaa!!!