Mastaa wa Bongo wananunua followers Instagram

Mastaa wa Bongo wananunua followers Instagram

Samahani, hoja yako haitoshi kuhitimisha kuwa mastaa wa bongo wananua followers IG... Maybe kama kuna kingine cha zaidi ambacho kitakuwa cha logic na kuaminikan tusiishie kuhitimisha kitu kwa madhanio tu.. Ahsante
 
Sidhani kama wananunua followers. Kwa mfano mimi nimefollow mastar kibao tu lakini sijawahi kulike wala kucomment..na post zao naziona.
 
siyo kwel kwa sababu hata pic yenye likes nyng instagram ina like 2.5M na aliyepost ana followers zaid ya 73.5 kim kardashian siyo hivyo tu ata viewers wa video zake hawazidi 2M...ni watu hawako active
 
I don't buy this bullshit, wewe nani anakulipa, au hutaki hela?
 
Unauzaje na mimi nifungue acc nyingi nyingi niziuze
 
Mkuu mimi sijanunua follower hata mmoja, ninao kama 18k ila nikipost kitu napata likes hazifiki hata 150 sasa piga hesabu hapo (150/18,000 zaidi ya wapuuzi 17,850 wapo wapo tu wamejaza nafasi) hiki ni kitu cha kawaida..
Post picha za kama kina masogange, likes lazima ziwe za kutosha
 
Back
Top Bottom