Nokla JF-Expert Member Joined Aug 12, 2012 Posts 3,190 Reaction score 1,774 Mar 29, 2014 #21 warumi said: Sema anaboa anavyojifanya anajua kila kit,much know sana yule halaf kimekomaa ndo maana hakitongozwi Click to expand... Yaani anapiga makelele Sana we mcheki kwenye ile muvi ya Kanumba ya mwisho kabla kifo yaan cjapenda kabisa
warumi said: Sema anaboa anavyojifanya anajua kila kit,much know sana yule halaf kimekomaa ndo maana hakitongozwi Click to expand... Yaani anapiga makelele Sana we mcheki kwenye ile muvi ya Kanumba ya mwisho kabla kifo yaan cjapenda kabisa
Nokla JF-Expert Member Joined Aug 12, 2012 Posts 3,190 Reaction score 1,774 Mar 29, 2014 #22 Tyta said: hapo kwenye red huwatendei haki.. Click to expand... Wanapiga makelele Sana kwenye muvi zao mi naona wanalazimisha tu...ili upnekane upo serious huitaji kupiga makelele
Tyta said: hapo kwenye red huwatendei haki.. Click to expand... Wanapiga makelele Sana kwenye muvi zao mi naona wanalazimisha tu...ili upnekane upo serious huitaji kupiga makelele
mrsleo JF-Expert Member Joined Jan 13, 2014 Posts 2,588 Reaction score 3,877 Mar 29, 2014 #23 warumi said: Sema anaboa anavyojifanya anajua kila kit,much know sana yule halaf kimekomaa ndo maana hakitongozwi Click to expand... Umeniacha hoi na hyo hakitongozwi hahahaaaaa
warumi said: Sema anaboa anavyojifanya anajua kila kit,much know sana yule halaf kimekomaa ndo maana hakitongozwi Click to expand... Umeniacha hoi na hyo hakitongozwi hahahaaaaa
mrsleo JF-Expert Member Joined Jan 13, 2014 Posts 2,588 Reaction score 3,877 Mar 29, 2014 #24 Me mwenzenu na bongo movie tuko tofauti siangaliagi kabisaaa wasanii wengi wa hyo tathnia nawajulia kweny magazet ta udaku
Me mwenzenu na bongo movie tuko tofauti siangaliagi kabisaaa wasanii wengi wa hyo tathnia nawajulia kweny magazet ta udaku
warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,218 Reaction score 18,440 Mar 29, 2014 Thread starter #25 mrsleo said: Me mwenzenu na bongo movie tuko tofauti siangaliagi kabisaaa wasanii wengi wa hyo tathnia nawajulia kweny magazet ta udaku Click to expand... Ukiwa unafuatilia thread zangu utawajua tu
mrsleo said: Me mwenzenu na bongo movie tuko tofauti siangaliagi kabisaaa wasanii wengi wa hyo tathnia nawajulia kweny magazet ta udaku Click to expand... Ukiwa unafuatilia thread zangu utawajua tu