Mastaa wa filamu waliolazimishwa kuingia kwenye fani

Mastaa wa filamu waliolazimishwa kuingia kwenye fani

Sema anaboa anavyojifanya anajua kila kit,much know sana yule halaf kimekomaa ndo maana hakitongozwi

Yaani anapiga makelele Sana we mcheki kwenye ile muvi ya Kanumba ya mwisho kabla kifo yaan cjapenda kabisa
 
Me mwenzenu na bongo movie tuko tofauti siangaliagi kabisaaa wasanii wengi wa hyo tathnia nawajulia kweny magazet ta udaku
 
Me mwenzenu na bongo movie tuko tofauti siangaliagi kabisaaa wasanii wengi wa hyo tathnia nawajulia kweny magazet ta udaku

Ukiwa unafuatilia thread zangu utawajua tu
 
Back
Top Bottom