mhuni
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 955
- 592
kwa mara kadhaa nakuwa nahuzunishwa sana na wasanii wa mziki hasa kwa instagram yaan unakuta msanii amepost kitu umelike na kucomment na umemtag kwa kumuuliza kitu lakin hakujibu
nimeshanga sana leo tarehe 7 mwez wa saba 2015 kuna msanii anatoa wimbo kesho tarehe 8 sasa kila superstar akipost cover ya wimbo wake lazma nayeye acomment kwa kumshukuru alivyopost lakin apost mtu mwingn tofaut na star hata comment yake hauioni naomba mbadilike
nampongeza sana frolah mvungi aka h mama huyu anajitahid sana kucomment kwa watu mbalimbali hata kwenye account yake ukimtag na kumuuliza kitu anakujibu
wengne wasanii mbadilikeee
nimeshanga sana leo tarehe 7 mwez wa saba 2015 kuna msanii anatoa wimbo kesho tarehe 8 sasa kila superstar akipost cover ya wimbo wake lazma nayeye acomment kwa kumshukuru alivyopost lakin apost mtu mwingn tofaut na star hata comment yake hauioni naomba mbadilike
nampongeza sana frolah mvungi aka h mama huyu anajitahid sana kucomment kwa watu mbalimbali hata kwenye account yake ukimtag na kumuuliza kitu anakujibu
wengne wasanii mbadilikeee