Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Jamaa acha utoto basiSoudy brown
View attachment 1549862
Hanaga mambo ya Kiki Huyu Yuko naumbewa wake
Sam-Misago
View attachment 1549865
Mwansishi wa habar popular
Mzeemkavu
Mzee wa shilawadu mnyaki hanaga Kiki za kijinga
View attachment 1549866
Dullavan
Mchekeshaji....Hana skendo ye n kazi kazi
View attachment 1549867
Bdozen
Cool guy Kaz tuView attachment 1549868
List inawalakini lakini ID yako ina walakini zaidi
NisahihisheeeJamaa acha utoto basi
Umeishia darasa la ngapi?
Mbona unachapia sana
Kwan top maana ake nnjamaa anajiita Top [emoji23] alafu list ina kina Dullyvan. hapa kuna utata sheikh (kwa sauti ya sheikh kipozeo)
kaenda mbali zaidi avatar yake njemba limekaa kifua wazitumekuelewa wachache[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo Avatar yako inazua maswali!! Ulikuwa unafanya/fanywa kitu gani?Soudy brown
View attachment 1549862
Hanaga mambo ya Kiki Huyu Yuko naumbewa wake
Sam-Misago
View attachment 1549865
Mwansishi wa habar popular
Mzeemkavu
Mzee wa shilawadu mnyaki hanaga Kiki za kijinga
View attachment 1549866
Dullavan
Mchekeshaji....Hana skendo ye n kazi kazi
View attachment 1549867
Bdozen
Cool guy Kaz tuView attachment 1549868
kaenda mbali zaidi avatar yake njemba limekaa kifua wazi
huyo n mmkaenda mbali zaidi avatar yake njemba limekaa kifua wazi
Sasa mada mbona haihusu avatar.....nilkua gym hapoHiyo Avatar yako inazua maswali!! Ulikuwa unafanya/fanywa kitu gani?
ChangiaHumu kuna toplemon
Naona huyu mwingine pia Top tz
Kazi ipo. Sina cha kuongezea na hiyo list yako
Ha ha ha mkuu acha basUnaweza kuta ni mhusika mwenyewe ndio kajipost. Kaongezea na wengine ili ajichukulie point 3 muhimu