Mastar Yanga kufungiwa AVIC huku wakigombea Kombe la Shirikisho

Mastar Yanga kufungiwa AVIC huku wakigombea Kombe la Shirikisho

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Screenshot_2025-01-21-10-04-51-286_com.twitter.android~2.jpg


Screenshot_2025-01-21-10-04-55-030_com.twitter.android.jpg
 
Hili la fitness ni Moja ya jambo lililoifanya yanga ishindwe kupata goli dhidi ya MC Alger.

Kwa wenye jicho la mpira tuliona baadhi ya wachezaji wakishindwa kukimbia kwa kasi wakati wa transition kwenda kushambulia.

Dawa ya kutibu hili ni kuwaweka kambi tu.
 
Hili la fitness ni Moja ya jambo lililoifanya yanga ishindwe kupata goli dhidi ya MC Alger.

Kwa wenye jicho la mpira tuliona baadhi ya wachezaji wakishindwa kukimbia kwa kasi wakati wa transition kwenda kushambulia.

Dawa ya kutibu hili ni kuwaweka kambi tu.
Dawa ni kuwapeleka Rehab.Wakevi wengi sana.Wanashindana kulewa.
 
Hili la fitness ni Moja ya jambo lililoifanya yanga ishindwe kupata goli dhidi ya MC Alger.

Kwa wenye jicho la mpira tuliona baadhi ya wachezaji wakishindwa kukimbia kwa kasi wakati wa transition kwenda kushambulia.

Dawa ya kutibu hili ni kuwaweka kambi tu.
Mnawafanya misukule na sindano zenu za kusisimua misuli
 
Bora Wakae huko...maana imefikia hatua ukipita mjini kila baada ya baa 4 lazima utakutana na mchezaji mmoja wa Yanga.

Wakiachiwa wanakuwa Walevi.!
 
Uwafungie Watu Kisa Ligi kuu ambayo Mnahonga Hovyo!!
 
Back
Top Bottom