Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 442
Tangazo hili la CRDB BANK.
Kwanza linashusha thamani ya mwanamke na kumfanya kama biashara wakati wa kuolewa,
- Muoaji anaulizwa kama anayo nyumba?
- Anaulizwa kama analo gari?
- Kama anayo ajira?
- Mwisho Jamaa anakwama kwa kuwa ana MASTER CARD
- Tangazo hili linafudisha nini?
- Kweli mapenzi ya kuoa na kuolewa yanalenga vitu vya kifahari
- Kwanini?
Kwanza linashusha thamani ya mwanamke na kumfanya kama biashara wakati wa kuolewa,
- Muoaji anaulizwa kama anayo nyumba?
- Anaulizwa kama analo gari?
- Kama anayo ajira?
- Mwisho Jamaa anakwama kwa kuwa ana MASTER CARD
- Tangazo hili linafudisha nini?
- Kweli mapenzi ya kuoa na kuolewa yanalenga vitu vya kifahari
- Kwanini?