Master Card bila kuwa nayo upati mke?

Master Card bila kuwa nayo upati mke?

Nani anausika na kusikiliza matangazo ya hapa bongo.
Wanaozalilishwa hapo kimya.
Au kwa kuwa ni CRDB.?

TCRA walitakiwa waliangalie hili... lakini kuna vyama vya walaji na kama ninakumbuka vema juzijuzi hapa kulikuwa na maadhimisho ya siku ya haki za mlaji na theme ya mwaka huu ilihusu financial services, lakini nao wako kimya
 
I would get a Pre- paid mastercard....enhe..how about that!
 
TCRA walitakiwa waliangalie hili... lakini kuna vyama vya walaji na kama ninakumbuka vema juzijuzi hapa kulikuwa na maadhimisho ya siku ya haki za mlaji na theme ya mwaka huu ilihusu financial services, lakini nao wako kimya

Je na media zinazotangaza azifikili hili au pesa mbele
 
Hao wanaotangaza wanaangalia mshiko kwanza, suala la maadili kwao halipo kabisa
wajua mkuu hivi karibuni nilipita kwenye Club moja hapa mjini nikasikia wakina dada waambizana,Yule anayoa master kadi,kama ATM namini nayo asinibabaishe,
 
Nadhani ni kukosa umakini na nadhani kama ni watu makini wanaweza wakalifuta.....................may be ilikuwa pre-testing......
 
Kwani mkurugenzi wa CRDB anatokea mkoa gani? Maana nasikia kuna mikoa lazima uwe nacho ndo upewe mke sijuhi ni ukweli au utani. Ila nina jirani yangu anatokea huo mkoa aisee anapenda ela huyo dada sijawahi kuona. Alienda kwenye msiba wa millionnaire mmoja wa kwao. Kurudi ananambia marehemu alikuwa jambazi ila ana ela huyo, na kanisani anapewa kiti mbele wakati kila mtu anajua kazi yake. Sasa the way alivyokuwa anasimulia you could tell kuwa na yeye ni admirer wa huyo marehemu. Yaani hao watu pesa ni pesa regardless unazipata vipi.
 
Back
Top Bottom