Master J aliniambia sijui kuimba kwenye Bongo Star Search– Harmonize

Heshima kwako Mkuu. Nimemkumbuka Tx Moshi.
 
Heshima kwako Mkuu. Nimemkumbuka Tx Moshi.
RESPECT KWAKE HUYU TX MOSHI ALIKUA MTUNZI MAHIRI SANA WA MUZIKI.. KWENYE ALBAMU ZA MSONDO ZAIDI YA NUSU YA NYIMBO YEYE NDIO alikua MTUNZI, TX ndio aliipandisha msondo kileleni enzi hizo shoo zake alikua anajaza na ukichelewa nafasi hupati, MASHABIKI WALIKUA WANAPANGA LINE KUGOMBANIA NAFASI, TX alikua anakimbiza kama diamond, kiba kwa sasa, alikua anajua biashara ya muziki, alikua rafiki wa kila mtu, alipendwa na viongozi wengi wa serikalini, na ma-pedeshee wa mjini kwa kujituma kwake katika kazi, alijitahidi kutengeneza videos za nyimbo nyingi za msondo... BAADA YA TX MOSHI KUFARIKI na MSONDO NGOMA NDIO IKAPOTEA KABISA KWENYE RAMANI YA MZIKI waliobaki hawana ubunifu wowote, toka amefariki wametoa video chache sana au hawajatoa tena hata nyimbo zenyewe hawatoi tena.. KWA SASA MSONDO WANAPIGA COPY TUU NA UKIENDA KWENYE SHOO ZAO NI NYIMBO ZA TX MOSHI NDIO HUPIGWA SANA.. RIP TX MOSHI WILLIUM TANZANIIIIIA..
 
Wanafanya biashara na boss wao kawaambia lazima wafatishe vile ye anaimba. siku domo akianguka hawa wote wanaingia mtaani kuuza vyupi.
hahaha mkuu ile crew ya wasafi naikubali ila naona wanamuelemea sana mondi, sijui itakuwaje akianguka watakimbiana pale hapata tosha yani . . . maana kuna watu mle kutwa wanakesha eti wanafanya mazoezi badala ya kuingia mtaani kuangalia na fursa nyingine wawekeze
 
kwani unajua kuimba?muone mashavu kama kambare,mkishajua kubanabana visauti vyenu basi mnajiita waimbaji,na yule mwenzenu linalomsaidia ni lile domo lake kama tarumbeta
 
Kuimba kila mtu anajua kuimba issue iko kwenye kutumbuiza wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…