Master J na BSS

Ofcoz hamis hajui sema wabongo mnapenda kiki na upepo hajui ukilinganisha na washiriki waliopo akina mesha amezing hamisi ni uchafu tu na BSS wameamua kumrudisha tu ili kupunguza makelele ila dogo ana uwezo wa kawaida sana
 
Tatizo Hamisi anataka kushinda kwa huruma ya wananchi,anatiatia huruma km paka wa bar/mgahawani.
Kipaji hamna pale na huo ndio ukweli akitaka aongeze juhud tu maana unaweza kuwa huna kipaji lakin juhudi zikakufanya utusue.Practice makes perfect.
Nakubaliana na wewe jamaa anakipaji sawa ila sio cha kiwango ambacho watu wanamweka alipaswa atoke hata kwenye makundi hiyo 20 bora sijui kaingiaje wametoka akina elisha hans
 
Ha ha! Hamisi karudishwa kwa kelele za watu na huruma ya madam rita,ukiangalia wakati anarudishwa kuna kauli ilitoka kwa madam kwenda kwa master j!! Mgogoro umeanzia kwao majaji ila madam ndio mwenye kauli maana ndie boss!!, Hasira za master j zimemuangukia hamisi na si boss wake atakosa ulaji.. madam kwake ile ni biashara.. ila hamisi kwa wale si kitu asubirie kulamba galasha tu😎😎
 
Nakubaliana na wewe jamaa anakipaji sawa ila sio cha kiwango ambacho watu wanamweka alipaswa atoke hata kwenye makundi hiyo 20 bora sijui kaingiaje wametoka akina elisha hans
Elisha Hans huu mwaka wa pili anashiriki na kutoka katika hatua hiyo hiyo.
 
Point ya mleta mada ipo clear.
Huwezi kumsema mshiriki vile wakati bado yupo kwenye mashindano.

Halafu kwa namna anavyoimba Hamis na kupiga gita ukisema hajui kitu huo unakuwa uchawi.
Bss ya awamu hii inawashiriki wa kawaida sana ambao ni level yake kabisa.

Master J anaonekana wazi huwa anaendeshwa na hisia badala ya professionalism.

Watanzania walivutiwa na Hamis kwakuwa alionesha uwezo ambao hakuna aliyetarajia. Alionekana hajakaa kisanini yaani kilimbukeni, pia muonekano wake ni wa mtu ambae Huwezi kudhania anaweza kupiga gita vile.

Tabia za Master J zinawafanya madogo wengi wenye uwezo kushindwa kujitokeza Bss kwani pale unakwenda kudharirishwa tuu.
 
Huruma za kiboya km hizi ndo zinasabisha tupate washindi mabwege ambao hawawez kujisimamia na wanapoteaga mazima...wapi jumanne Idd?
 
Kwenye Tusker project fame kulikua na judge aitwa Ian mkuda balaa,kile chuma noma but kasaidia sana kuwajenga washiriki kwa ukuda wake
 
Huyo Hamis sijui anaimbaga mini zaidi ya kutoa risala. Au kwa vile kafanana na konde boy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…