ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Nimefuatilia Interview aliyo ifanya Master J Na Refresh Ya Wasafi FM, Kama Master J upo Humu naomba Nikwambie na Niku JUDGE kuwa Wewe huwezi kufanya INTERVIEW na Sio JUDGE Mwenye Elimu Ya Kuwa Judge like huna Maadili Ya Kazi! Sisemi Kwa Ubaya Ila Nakwambia uweze Kujirekebishaa, Hamisi Ni mshiriki ambaye yupo Kwenye 20 Bora ya Mashindano na sasa Shindano Lipo mikononi Mwa wananchi Mkiwasisitiza Wapige Kuraa Kwa Wingi kwa washiriki wanao Wapenda Ikiwa Na maana Kuwa Mmeachia Wananchi Wafanye Judgement!
Ni kweli Kabisa Hamisi Hana Kipaji kama unavyosema nakubaliana na Wewe lakini Unawezaje kwenda kwenye Interview na kuanza Kusema Maneno Ha Hovyo kama Yale kwa Mshiriki ambaye bado Yupo Kwenye Mashindano? Angekuwa Ametoka Kwenye Mashindano Sawa lakini Mshiriki bado yupo kwenye Mashindano then Unatoka Unaenda Kwenye Media Nakuanza kusema Maneno Ya hovyo hovyoo As If Mmegombana na Hamisi? What If Hamisi Akiona Hii Interview Atajisikiaje? Atapa Ujasiri Tena wa Kuimba japo Hajui? Hamisi bado ni Mtoto sana Lakini Unawezaje Kusema Maneno kama Yale kwamba Hajui like ni na nini ikiwa wewe ni Moja Ya Majudge kwenye hayo Mashindano Na Mshiriki bado yupo kwenye mashindano?
Unanifanya Niamini wale Ambao huwa wanasema BSS huwa inakuwa na Mshindi wao Tayari Toka Siku Ya Kwanza? How unaenda Kumjudge Mshiriki kwenye Media? Inamaana Zile Kula Wanazo Piga Wananchii hazima Nguvu,wala Umuhimu wowote Ule... Kwanini mnaendelea kuwatoza Pesa wananchi kwa kusema wapige kura kwa Mshiriki ambae mnajua Hata pitaaaa na hana Kipaji? Huo si ndio Wizi? Kama Mshikiri Kushinda ni Kigezo cha Kura Basii Tuseme Hamisi Ni mshindi!
Then Uache Kumuiga Sallama Kwa Kuwa hayupo kwenye Mashindano basi wewe ndio unataka uwe Yeye... Salama Atabaki kuwa Salama, Isiwe Sababu sasa Ya Wewe kila kituu kukataaa Yaani Kifupi washiriki wote waliopo kwenye Top 20 wewe uliwasemea NO na maneno kibao kisa Washiriki wakuogope wewe na Waseme kuwa Tuna Salama Mwingine! Fanya kazi kwa Uweledi na Kwa Akili!
Huwa nashangaa sana Judges Wa BSS wanavyomsema Vibayaaa mshiriki akikosea Kuimba Anasemwa As If kaiba sijui? kwanini Msijudge kwa hekima kwa Mshiriki Ambae Hajafanya Vizurii hamuoni Mashindano Makubwa kama AGT wanavyo judge? Maneno Yenu ya Kejeli mnapoteza Washiriki Wazuri kwa Kuogopa Maneno Yenu ya Hovyo hovyo na mnamcheka Juu
Badilikeni Kuboresha Mashindano Yenu, Ikiwa pamoja na Kuacha kuwaibia wananchi kupitia kupiga kuraa nashauri Kura Zitumike kwa Washiriki mlio wapeleka Top 3
Ni kweli Kabisa Hamisi Hana Kipaji kama unavyosema nakubaliana na Wewe lakini Unawezaje kwenda kwenye Interview na kuanza Kusema Maneno Ha Hovyo kama Yale kwa Mshiriki ambaye bado Yupo Kwenye Mashindano? Angekuwa Ametoka Kwenye Mashindano Sawa lakini Mshiriki bado yupo kwenye Mashindano then Unatoka Unaenda Kwenye Media Nakuanza kusema Maneno Ya hovyo hovyoo As If Mmegombana na Hamisi? What If Hamisi Akiona Hii Interview Atajisikiaje? Atapa Ujasiri Tena wa Kuimba japo Hajui? Hamisi bado ni Mtoto sana Lakini Unawezaje Kusema Maneno kama Yale kwamba Hajui like ni na nini ikiwa wewe ni Moja Ya Majudge kwenye hayo Mashindano Na Mshiriki bado yupo kwenye mashindano?
Unanifanya Niamini wale Ambao huwa wanasema BSS huwa inakuwa na Mshindi wao Tayari Toka Siku Ya Kwanza? How unaenda Kumjudge Mshiriki kwenye Media? Inamaana Zile Kula Wanazo Piga Wananchii hazima Nguvu,wala Umuhimu wowote Ule... Kwanini mnaendelea kuwatoza Pesa wananchi kwa kusema wapige kura kwa Mshiriki ambae mnajua Hata pitaaaa na hana Kipaji? Huo si ndio Wizi? Kama Mshikiri Kushinda ni Kigezo cha Kura Basii Tuseme Hamisi Ni mshindi!
Then Uache Kumuiga Sallama Kwa Kuwa hayupo kwenye Mashindano basi wewe ndio unataka uwe Yeye... Salama Atabaki kuwa Salama, Isiwe Sababu sasa Ya Wewe kila kituu kukataaa Yaani Kifupi washiriki wote waliopo kwenye Top 20 wewe uliwasemea NO na maneno kibao kisa Washiriki wakuogope wewe na Waseme kuwa Tuna Salama Mwingine! Fanya kazi kwa Uweledi na Kwa Akili!
Huwa nashangaa sana Judges Wa BSS wanavyomsema Vibayaaa mshiriki akikosea Kuimba Anasemwa As If kaiba sijui? kwanini Msijudge kwa hekima kwa Mshiriki Ambae Hajafanya Vizurii hamuoni Mashindano Makubwa kama AGT wanavyo judge? Maneno Yenu ya Kejeli mnapoteza Washiriki Wazuri kwa Kuogopa Maneno Yenu ya Hovyo hovyo na mnamcheka Juu
Badilikeni Kuboresha Mashindano Yenu, Ikiwa pamoja na Kuacha kuwaibia wananchi kupitia kupiga kuraa nashauri Kura Zitumike kwa Washiriki mlio wapeleka Top 3