Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I meant full not fool Sir.True story. Life is so fool of surprises, if you're not careful it makes a full outta you.
Duuu! Ajaonyeshewa live huyo alihaidiwa akaogopa atadanganywaNilipomuona Master J muongo ni pale aliposema shaa anapigiwa simu na mapedejhee na kumpa offer hadi ya mil400 na offer za magari hadi ya 200m na anayakataa.
Alikuwa anaitwa P. Diddy ( kibongo bongo lakini)Aliyemvisha pete Maimartha Jessey na kukaa kidoleni bila ya ndoa, kwa miaka zaidi ya sita ndiye aliyefariki. Si mume. Jina limenitoka. Alikua pedezyee mjini.
Ha ha ha... U made my morning mkuuNilipomuona Master J muongo ni pale aliposema shaa anapigiwa simu na mapedejhee na kumpa offer hadi ya mil400 na offer za magari hadi ya 200m na anayakataa.
“Miaka 10 niliyoishi naye nimemwelewa vizuri, anastahili kabisa kuitwa mke wa Master J hapa nafanya taratibu za kumuoa ili tuishi maisha ya mke na mume,” Master J aliliambia gazeti la Mtanzania. Yaani ameishi naye kwa muda wa miaka 10 bado anamwita msichana !!! Na kama angemwacha ni nani wa kuoa hivyo vilivyochacha.
Waliachana kitambo sana sema jamaa mataarabu sana maana hawakutukanana km hide na mkojozo wake gadnerMaster J ana make na watoto wakubwa tuu,labda Hugo atakua make wa pili
Tatizo kwangu sio kuolewa, anaweza kuolewa hata baada ya kukaa naye kwa miaka 30, ila mimi naona Ukakasi pale ambapo pamoja na umri wote huo, bado anaitwa Msichana !!!kaolewa Zari wa watoto wanne sembuse Shaa
Duh! Zari kaolewa lini na nani?kaolewa Zari wa watoto wanne sembuse Shaa
Yap Prof Kaisi wa Mikocheni.Hivi huyu Shaa ni mtoto wa Dr Kaisi ?
Hivi huyu Shaa ni mtoto wa Dr Kaisi ?
Alikuwa anaitwa P. Diddy ( kibongo bongo lakini)