Mkuu unataka kutengeneza kashfa ingine ya wanaume wa Dar nadhani.....Na mtuache hata tupumzike sasa...Ninaangalia Bongo Star Search majaji ni Master Jay, Salama Na Madam Rita mshiriki mmoja aliingia ambapo mshiriki huyo mwaka jana alitoa nyoka na kinyonga kutoka ndani ya nguo zake sasa leo kaingia kwenye jukwaa Master Jay kumuona akakimbia kutoka kwenye kiti chake hadi Madam rita anamvuta asikimbie kwa kwel ni tukio la aibu Master Jay umefanya yanini sasa unajiita Master uko wap huo u master wako?
Ninaangalia Bongo Star Search majaji ni Master Jay, Salama Na Madam Rita mshiriki mmoja aliingia ambapo mshiriki huyo mwaka jana alitoa nyoka na kinyonga kutoka ndani ya nguo zake sasa leo kaingia kwenye jukwaa Master Jay kumuona akakimbia kutoka kwenye kiti chake hadi Madam rita anamvuta asikimbie kwa kwel ni tukio la aibu Master Jay umefanya yanini sasa unajiita Master uko wap huo u master wako?
Unajua mtoa mada anadhani alipata umaster kwa kushika nyoka kama kwenye yale mapicha ya kichina Teh Teh....Master J alikua wa kwanza kukimbia na kuwaacha wanawake. Kazidi uoga jamaa hata huyo nyoka hakumtoa
Master J alikua wa kwanza kukimbia na kuwaacha wanawake. Kazidi uoga jamaa hata huyo nyoka hakumtoa
Yani dume zima linakimbia kinyonga hadi madame Ritah kamshinda aibu aiseeHawa wanaume wa dar wanazidi kuaibisha jamani, dar kweli akina mama dar ni ngangari
Hahaaaaaa kumbe jamaa ndo alifikiria hvo u master wa kichina kwa wanaume wa DarsalamaUnajua mtoa mada anadhani alipata umaster kwa kushika nyoka kama kwenye yale mapicha ya kichina Teh Teh....
Wanaume wa dar wanatafunwa na kashfa ha ha ha hivi nawe ni mwanaume wa dar eeeh?Mkuu Master J ni mwanaume wa dar
Nimecheka sana...daaa Jf ni kiboko...Mwl Evelyn Salt pita hapa Teh Teh..
Jamaa alivyo sikia mtu anaitwa master akajua ni kama wale wa kwenye picha wanaoshika nyoka na kucheza karate..
Teh TehHawa wanaume wa dar wanazidi kuaibisha jamani, dar kweli akina mama dar ni ngangari
Hawa wanaume wa dar wanazidi kuaibisha jamani, dar kweli akina mama dar ni ngangari
Teh Teh jamaa anajua ukiitwa master basi umepitia mafunzo kama ya Master wake jet lee..Jf kuna watu wa aina yake..Hahaaaaaa kumbe jamaa ndo alifikiria hvo u master wa kichina kwa wanaume wa Darsalama
Teh Teh..Mimi nilihama Dar kabisa kukwepa kashifa hizi Teh Teh..Wanaume wa dar wanatafunwa na kashfa ha ha ha hivi nawe ni mwanaume wa dar eeeh?
Teh Teh mkuu ina maana binadamu kuitwa kenge ni jambo la kawaida?ni SUNA, sijamtukana kama unaona ni tusi, pokea kama yeye
Master J alikua wa kwanza kukimbia na kuwaacha wanawake. Kazidi uoga jamaa hata huyo nyoka hakumtoa
Hahahaaaaa hakuna namna tena imebidi tuwe ngangari kama wanawake wa rombo!Hawa wanaume wa dar wanazidi kuaibisha jamani, dar kweli akina mama dar ni ngangari