Master Jay kwa hili umeniangusha!


Teh teh teh ndio maana Taifa Stars inapigwa tatu tatu
 
Hahaha ngoja niwaite wanaume wa dar, mtavunja simu kwa makavu yao
 
Moja kati ya starehe ya bongo star seach ni namna majaji wanavyofanya shughuli zao. Kwangu mimi naangalia zaidi vituko vya majaji hata kuliko waimbaji. Kwa hiyo alichokifanya master j ni sahihi kwangu na ilikuwa kiburudisho tosha
 
Hahaaaaa inashangaza sana aisee zamani ilikua wanawake ndo waoga sana wanaume ndo walikua babalao Ku protect wanawake ila kwa Dar ni virse versa.
Hyo case ya mmama kwenye daladala imenikumbusha story ya Hawa the bus driver.

Hahahah,aisee Diva acha kukumbusha Hiyo Story,aisee nakumbuka mbali kweli.
Na hii ndio mambo ya Sarafina haya,watu wanakumbuka mbali sana na kujitolea muhanga.

Maana Sarafina alikuwa hapa Zanzibar kwa ZIFF(Zanzibar International Film Festival),yaani nilikuwa nikimuangalia nakumbuka ile Sinema yake,duhhh sipati picha.
Ila amekuwa mkubwa kwa sasa,lakini mzuri sana,na mwili wake bado ule ule mwembamba.Maana nilienda na wanangu walitaka kumuona,ila ilikuwa mbinde kiasi
 
Hahahaha,
Leo Jamaa wa Dar kazi wanayo aiseee.
Maana wanapata wamkoani wanapata Support ya Madada waliopo Dar basi jamaa zote wa Dar wamesepa kwenye UZI.

Ukikata Mke nenda Kaoe Mbagala,ili iwe rahisi kumfundisha Judo.Maana unakuta mwanamke kwenye Daladala ndio wa kwanza kupenya,yaani unasukumwa ukigeuka kumbe mwanamke kaishapita,aisee

Dar watuw anatafuta Six packs,Kunyanyua vyuma.Kuna siku jamaa alikula Kichapo pale karume na dogo tu wa kawaida,watuw alijua dogo atapigwa maana jamaa ni mtu wa nondo.Nikajua kumbe aisee nyanyua vyuma uvutie madem ila kupigana ni kesi nyingine.
 
Story nyingine hutokea nakukumbusha important events tulizopitia kwenye life.
I wish ningemuona sarafina mana movie yake ila niliangaliaga nikiwa mdogo sasa nikawa naambiwa south Africa na ubaguzi sarafina ilinivutia sana kusoma historia aisee ya makaburu. Jamani ningemuona ndo furaha yangu ingrkamilika sana yani.
 

Pole sana wangu,mie nilivyosikia anakuja basi niliwaagiza wanangu from Dar wakaja kumuona,maana wanampenda kupita maelezo,wali enjoy mno walipomuona face to face.

Siunajua ZIFF ilifanyika on Mandela`s day,sasa alikuja kama mualikwa.Ningejua ningekustua
Ila usijali next time akija mtu maarufu nitakustua kwenye matamasha angalua uje kwa one day.
 
Dah nampenda sana Sarafina na ile movie huwa hainichoshi kabisa kuiangalia. Wanao wali enjoy sana kutoka kwa best daddy anaye wapa wanawe kitu wakipendacho.
Hizi tuzo za ZIFF ni international nitaanza kuzifatilia ningejua mapema ningeenda kumuona Sarafina nipige naye selfie, next time uwe unanishtuaga mapema.
 
Na hili ni tatizo mtu badala ajadili hoja anakimbilia matusi. Ni aibu sana tena ukute ni baba wa familia huyo. Ila huwa naamini watu kwenye jamii wako kila sampuli

Kweli kabisa mkuu, watu wa sampuli hii dawa yao ni kuwapuuza tu
 
Mengi wanayoyafanya hayana utu na wakati mwingi haki za binadamu hukiukwa, fikiria mtu anaingia, anajaribu kuonyesha kile anachojua labda kuimba halafu hapewi hata dakika kwa dharau kubwa anafukuzwa na kukatishwa tamaa kama vile sio binadamu, mimi nilitegemea kipindi kile kinaongozwa na wataalamu wabobezi wa masuala ya Muziki na tunzi, sidhani kama wale majaji wanastahili maana hawana utalaam wowote wa muziki afadhali hata huyo master J, ila kwakweli udhalilishaji wanaouonyesha kwa watanzania kwenye Bongo star search ni mkubwa sana na inabidi ulaaniwe kwa nguvu zote
 
Teh Teh...
 
Master j alihitimu chuo gani hadi akapewa u master?
 

Ms Paulsen aliweka wazi kuwa alitumiwa msg instagram kuwa yule kijana alipanga kwenda na nyoka,so Master J anaogopa nyoka sana,ndo maana alikimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…