lov you baby galAcha allegation za kipumbavu
Mtoto wa mkwere awe mbaya namna hii !! Mi nakataa !
Mkuu kwani vipi? Huwa wanajiumba wenyewe ama?Mtoto wa mkwere awe mbaya namna hii !! Mi nakataa !
Wachaga kwa dili hamjambo ila samahano.Kuna anaemfahamu mume wa Dr Salama Kikwete? Kijana wa kichaga aliebadili dini ili afunge ndoa na mtoto wa aliekuwa raia number moja. Jamaa ni mpiga dili wa hatari, hataki ajulikane kabisa lakini yeye ndiye planner mkubwa wa familia.
K tu mwananguAna profession gani?
Wachaga kwa dili hamjambo ila samahano.
Kuna anaemfahamu mume wa Dr Salama Kikwete? Kijana wa kichaga aliebadili dini ili afunge ndoa na mtoto wa aliekuwa raia number moja. Jamaa ni mpiga dili wa hatari, hataki ajulikane kabisa lakini yeye ndiye planner mkubwa wa familia.
Hahahaaaaa!! Unanitukana bure ila ndo zenu.Mkuu saa nyingine ukimya huficha ujinga! Uliwahi sikia mchaga anaitwa Marwa?
Iyo tai tu jamaa sio mchagga
Walipueni tu ili tuwafahamu vizuri mana kwa awamu hii ya JPM hakuna cha kupoteza na hakuna namna tena ya kuwatunzia siri.Albert Marwa mume wa Salama Kikwete na ushiriki wake sakata la Tegeta Escrow23 Dec 2014 12:46
Sio mchaga na ni mtoto wa adoption wa mmoja wa mkubwa wa jeshi enzi hizo....alimuokota kwenye vita ya Uganda akamchukua kama mwanae....His name is Albert Marwa
Uyo sio Salama sijui Izo picha uyu bint anaongopewa na nani !!!!Mtoto wa mkwere awe mbaya namna hii !! Mi nakataa !
Iyo picha alokupa embu muulize vizuri usije ukaja shitakiwa kwa kuleta picha za watu ambao hata hawausiki.....uyo sio Salama usikurupuke