M maleka Senior Member Joined May 23, 2013 Posts 143 Reaction score 33 Oct 24, 2013 #1 Habari wana jamvi,, naomba msaada kwa mwenye uelewa kuhusu hili,, mm nimemaliza Bachelor ya Computer science na nahitaji kufanya master ya Bussines Administration,, nni kinahitajika au naweza kujiunga direct,,,, thanks.
Habari wana jamvi,, naomba msaada kwa mwenye uelewa kuhusu hili,, mm nimemaliza Bachelor ya Computer science na nahitaji kufanya master ya Bussines Administration,, nni kinahitajika au naweza kujiunga direct,,,, thanks.
Chivundu Platinum Member Joined Dec 17, 2012 Posts 7,781 Reaction score 6,966 Oct 24, 2013 #2 Malengo yako ni yapi? Kuajiliwa au unabiashara zako? Hizi kozi jiangalie na wewe future needs ndio uchague.
Malengo yako ni yapi? Kuajiliwa au unabiashara zako? Hizi kozi jiangalie na wewe future needs ndio uchague.