Master of Information studies

Gudasta

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2011
Posts
501
Reaction score
788
Wana jf habari za pasaka? leo nina shida ya kujua Details za Master of information studies,naomba mtu aliye/anayesoma hii kozi anipe details za hii kozi, Je inahusu nini hasa, ina related na kozi za IT au inarelate na kozi zipi? vp kuhusu wahitimu wake je wanaajiliwa au kujiajili kwenye sekta gani? na vp kuhusu soko lake la ajira?
Nitafurahi sana greater thinkers kwa msaada wenu.
 

inahusisha IT,LAKIN ,MAJOR NA MAMBO YA LIBRARY,U MAY BE LIBRARIAN,yupo rafiki yangu alisoma that course now ni senior librarian at SUA,mimi pia niliopt kozi ya Library education and information management,module ya mwisho ilikua ni Issue za IT hasa zinavyosaidia katika kupata info.
Hop others wataongea
 

you are right ++knowledge manager/records manager/ information officer(depends on organization structure), kwa tz bado zengwe nimejaribu kuangalia job advertisements nyingi naona wanahitaji form four leaver mwenye certificate so it reflects na salary
makerere university wana hiyo master unaweza ukapata details kwa website yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…