Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeishasema MBA halafu hapa unaomba ushauri?By the way MBA mzumbe mpaka umefanya kazi ndani ya miaka mitano ndo utaweza kuisoma hiyo MBA
Umeishasema MBA halafu hapa unaomba ushauri?By the way MBA mzumbe mpaka umefanya kazi ndani ya miaka mitano ndo utaweza kuisoma hiyo MBA
Umeishasema MBA halafu hapa unaomba ushauri?By the way MBA mzumbe mpaka umefanya kazi ndani ya miaka mitano ndo utaweza kuisoma hiyo MBA
hivi mzumbe wanatoa MBA(finance) ?Ingekuwa hivi elimu ingekuwa ngumu sana Tanzania. GPA kama anayo kuanzia 2.9 anasoma muda wowote ule. Labda kama ana pass ndio kuna njia nyingine. Nina mtu nimegraduate nae ana 3.3 na anapiga now yupo ktk final year kumalizia malizia research. So atuambie kwanza ana GPA ipi.
hivi mzumbe wanatoa MBA(finance) ?
Kwa sasa wanatoa ya Marketing, Supply Chain, Entrepreneurship, Account and Finance.
Ingekuwa hivi elimu ingekuwa ngumu sana Tanzania. GPA kama anayo kuanzia 2.9 anasoma muda wowote ule. Labda kama ana pass ndio kuna njia nyingine. Nina mtu nimegraduate nae ana 3.3 na anapiga now yupo ktk final year kumalizia malizia research. So atuambie kwanza ana GPA ipi.
there is no linear correlation between one's innovativeness and his level of education. Start your business first, mba will find you in your way. Experience is a good teacher.
there is no linear
correlation between one's innovativeness and his level of education.
Start your business first, mba will find you in your way. Experience is
a good teacher.